Hayo mambo yanatendeka miaka yote, safari hii kuna watu wamekosa mgao. Mama Shelukindo analijua hilo sana kwa sababu mme wake alikuwa ni M/kiti wa kamati hiyo miaka 5 iliyopita; naye alikuwa anapata mgao kupitia mr. wake. Leo hii mr. wake hayupo mjengoni kwa hiyo mgao haumfikii ndo maana akalipuka!
Kujiuzuru kwa utashi/hiari kwa mtumishi yeyote wa umma kwa kosa lolote ambalo ni kinyume na utaratibu/kanuni huwa ni ishara ya mtumishi huyo kukiri hadhalani udhaifu wake kiutendaji. Waziri mkuu anakiri kwamba hana mamlaka ya kumwajibisha katibu mkuu ndugu Jairo, inawezakana ni kweli kwa mujibu...
Kujiuzuru kwa utashi/hiari kwa mtumishi yeyote wa umma kwa kosa lolote ambalo ni kinyume na utaratibu/kanuni huwa ni ishara ya mtumishi huyo kukiri hadhalani udhaifu wake kiutendaji.
Waziri mkuu anakiri kwamba hana mamlaka ya kumwajibisha katibu mkuu ndugu Jairo, inawezakana ni kweli kwa...
Hiyo ni danganyatoto ya CCM, kumbuka jana walikuwa na kikao chao usiku. HUYO ANNA KILANGO KUANZIA LEO ATAPEWA LUNCH NA NGELEJA MFULULIZO MPAKA JUMATATU ATAKUWA AMEELEWEKA TU NA KUUNGA MKONO HOJA. Mwisho wa siku utaniambia tu!
Huu ni ujumbe kwa wabunge wote wa CCM ambao ni wafanyabiashara, waachie ngazi. Wapo bungeni kwa maslahi yao ya kibiashara na si kuwatumitumikia wapigakura wao.
Wabunge wote CCM wamelogwa! Wakiwa mjengoni wanawaza ipo siku watateuliwa kuwa mawaziri au spika, ukichanganya na posho haramu wanazopokea ndo kabisa zinafanya akili zao kuwa na magamba!
WABUNGE: WASALITI WA WATANZANIA.
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana mjadala wa bajeti ya serikali
unaoendelea huko bungeni mjini Dodoma.
Miongoni mwa hoja zinazochukua sehemu kubwa ya mjadala ni suala la
posho, na kwa kweli hili limeshajadiliwa na wadau mbalimbali hapa
nchini.
Nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.