Search results

  1. TheDreamer Thebeliever

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    Je hata walioomba mwaka wa jana wanahitaji kujisajili upya ndio waombe au wanalogin tu?
  2. TheDreamer Thebeliever

    Upo wapi Anneth Benidicta?

    Nami nimemkumbuka X wangu Rosemary mtoto wa Kichagga mweupee uliyekuwa unaishi pale Buza Kanisani,nimekukumbuka kama upo nyoosha kidole nikuone roho yangu iridhike
  3. TheDreamer Thebeliever

    Nikajua kujitolea ndio kuzingatiwa kupata ajira

    Inasikitisha sana Story yako😂😂😂
  4. TheDreamer Thebeliever

    Tazama mazingira ya shule kumi bora Tanzania mwaka 2021

    Hapo Mzumbe home boy nimepita na kitu cha PCM hakuna raha hata kidogo mateso kama Guantanamo Bay, bila kuwa genius na kuwadanda wadau discussion au kujiongeza tuition hautoboi .😂😂😂😂
  5. TheDreamer Thebeliever

    Soko la Karume limeungua moto

    "Vijana mjiajiri msingoje kuajiriwa"😂😂😂😂😂
  6. TheDreamer Thebeliever

    NASA wanatafuta mtu wa kumlipa ili aishi mazingira ya sayari ya Mars yaliyojengwa Marekani

    Habari wadau Kama umri kuanzia Miaka 30-55 fursa hii hapa mkwanja mrefu utatolewa, wale wazee wa kujilipua kazi kwenu. ===== The space agency is looking for paid volunteers to spend a year living in Mars Dune Alpha, a Martian habitat based in Johnson Space Centre in Houston, Texas. The...
  7. TheDreamer Thebeliever

    Tusipotezeane muda! Ukweli ni kwamba 'Ulidanganywa' na 'Wanafiki' kuhusu Kabudi na Lukuvi, ila sasa 'Unatuzuga' na 'Kujikosha' tu Kwao

    Kabudi iliyetolewa matopeni na kuketi pamoja na mtawala kwenye meza kuu,kamwe hawezi kukubali kurudi matopeni bora akale makombo ya kuokota chini ya meza ya malkia mtukufu.
  8. TheDreamer Thebeliever

    Nini kimemkuta Waziri Mchengerwa?

    Tena ashukuru mama ana huruma maana kosa alilofanya alistahiri kuwa tu mjumbe wa nyumba kumi
  9. TheDreamer Thebeliever

    Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

    Ukikamatwa na bangi usikubali waende kukusachi mbele kwa mbele ,waambie mmalizane mbele za watu waone umekamatwa na kil9 ngapi lasivyo wataenda kukupa magunia yote waliyoyaweka store harafu kwenye habari watatangaza wamekukuta na viroba 20 vya bangi wakati ni ka kilo moja tu 😂😂😂
  10. TheDreamer Thebeliever

    Kuna hasara gani kama Taifa tunazipata kwa kutokuwa na sera ya uraia pacha au "Special Status" inaweza kuwa mbadala?

    Habari wadau...! Habari wadau ebu leo tujadili kuhusu haya mambo ,naona siku hizi mbili yamekiki sana huku kwetu tunaohishi udayasporani baada ya muingereza mtanzania kuibuka na tuzo ya Nobel. Karibuni tujadili.
  11. TheDreamer Thebeliever

    Kuwa makini na mzigo wako unapofika Stendi ya Magufuli, unaweza kujikuta unaozea Segerea

    Ni Alibambikiziwa wapi kijijini,stand au kituo cha polisi PGO tena
Back
Top Bottom