Nami nimemkumbuka X wangu Rosemary mtoto wa Kichagga mweupee uliyekuwa unaishi pale Buza Kanisani,nimekukumbuka kama upo nyoosha kidole nikuone roho yangu iridhike
Hapo Mzumbe home boy nimepita na kitu cha PCM hakuna raha hata kidogo mateso kama Guantanamo Bay, bila kuwa genius na kuwadanda wadau discussion au kujiongeza tuition hautoboi .😂😂😂😂
Habari wadau
Kama umri kuanzia Miaka 30-55 fursa hii hapa mkwanja mrefu utatolewa, wale wazee wa kujilipua kazi kwenu.
=====
The space agency is looking for paid volunteers to spend a year living in Mars Dune Alpha, a Martian habitat based in Johnson Space Centre in Houston, Texas. The...
Kabudi iliyetolewa matopeni na kuketi pamoja na mtawala kwenye meza kuu,kamwe hawezi kukubali kurudi matopeni bora akale makombo ya kuokota chini ya meza ya malkia mtukufu.
Ukikamatwa na bangi usikubali waende kukusachi mbele kwa mbele ,waambie mmalizane mbele za watu waone umekamatwa na kil9 ngapi lasivyo wataenda kukupa magunia yote waliyoyaweka store harafu kwenye habari watatangaza wamekukuta na viroba 20 vya bangi wakati ni ka kilo moja tu 😂😂😂
Habari wadau...!
Habari wadau ebu leo tujadili kuhusu haya mambo ,naona siku hizi mbili yamekiki sana huku kwetu tunaohishi udayasporani baada ya muingereza mtanzania kuibuka na tuzo ya Nobel.
Karibuni tujadili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.