Search results

  1. kijanamdogo

    Vyama vya Wafanyakazi vimeshindwa Kuwatetea Watumishi, Wabunge wasaidieni

    Hakika nimeamini kuwa Vyama vya Wafanyakazi Tanzania havina msaada kwa Wanachama wao ambao ni Watumishi licha ya kuwachukilia michango yao kila mwezi. Watumishi wamesimamishiwa upandaji wa Madaraja, waliopandishwa madaraja tangu 2015/2016 hawajarekebishiwa mishahara. Watumishi hawajapandishiwa...
  2. kijanamdogo

    Nashauri uongozi wa klabu ya Simba siku ya kukabidhiwa kombe wachezaji watue/kuondoka uwanjani kwa helikopta

    Ili kuweka historia ya Ubingwa wetu kwa mwaka 2018/2019 Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania ukodishe helikopta ambayo itawabeba mashujaa wetu na kuwatua katikati ya uwanja na baada ya mchezo na kukabidhiwa kombe. Helikopta itarudi tena Uwanjani kuwabeba Mashujaa wetu na Kombe letu hadi liliko Basi...
  3. kijanamdogo

    Ofisi za watendaji wa mitaa kutoza asilimia 10 za mauzo ya viwanja/mrahaba bila kutoa risiti, manispaa zinahusika?

    Wadau kwa aneelewa utaratibu sahihi wa kununua kiwanja /shamba lisilopimwa na kwenda kuandikiana Ofisi ya Serikali ya mtaa . Binafsi nimebaini kuwa SERIKALI za mtaa ambazo ziko chini ya Halmashauri hutoza fedha kwa WANANCHI wanaofika pale kuandikiana kwa gharama ya asilimia 10 ya MAUZO fedha...
  4. kijanamdogo

    Congratulations To Simba Sports Club..

    Hakika Klabu ya WANANCHI YANGA kwa hiari yake Leo imeukabidhi Ubingwa wa Kandanda Tanzania Bara lea Klabu ya Simba.Yanga imeutema ubingwa huo baada ya kipigo kutoka lea Klabu ya Prison ya Mbeya.NawaombaMabingwa wapya kuendelea kusaka Pointi zilizobaki kwa KASI ile ile."This is Simba "
  5. kijanamdogo

    Kwanini mifuko ya hifadhi ya jamii inachelewesha mafao ya wastaafu?

    Hakika inasikitisha sana kuwa WATUMISHI WASTAAFU wakicheleweshewa Mafao yao na mifuko ya hifadhi ya jamii.Kama mtumishi aliweza kuchangia michango yake kwa uaminifu mkubwa iweje Leo acheleweshewe Mafao yako? Wastaafu hao hawana kipato kingine zaidi ya Mafao yao hivyo ni vema Mifuko hiyo...
  6. kijanamdogo

    Binafsi naishauri Serikali iangalie upya sheria ya kustaafu kwa Mtumishi wa Umma

    Wadau naomba tuungane kuchangia mada hapo juu.Binafsi naishauri Serikali iangalie upya sheria ya KUSTAAFU kwa Mtumishi wa Umma wa kwani muda KUSTAAFU kwa hiari MIAKA 55 ni muda mrefu sana na MIAKA 60 kwa Lazima. Sababu za kutaka hayo mabadiliko ni pamoja na: 1.Afya kwa WASTAAFU watarajiwa...
  7. kijanamdogo

    Mchezaji wa Yanga na timu ya Taifa Kelvin Yondani anastahili adhabu kwa kumtemea mate mchezaji wa Simba

    Hakika nimeshangazwa na kitendo cha kihuni na kisicho cha kistarabu lea mchezahi wenye umri mkubwa, mchezaji wa timu ya Taifa na Klabu kubwa nchini Yanga Kelvin Yondani kumtemea mate mchezaji wa Klabu ya Simba juzi uwanja wa Taifa. Naziomba mamlaka husika TFF na bodi ya ligi mumwadhibu mchezaji...
  8. kijanamdogo

    Suala la kiimani: Kwanini Askofu wa RC akifa anazikwa kanisani?

    Wadau hasa waumini wa dhehebu la kikatoliki je ni kwanini Askofu akifa huzikwa ndani ya kanisa na sio eneo la makaburi walipozikwa hata Mapadre? Nasema hivi kwani nimeshuhudia Askofu wa kwanza wa Jimbo la Mahenge marehemu Elias Mchonde alizikwa kanisani.
  9. kijanamdogo

    Binafsi naamini watoto waliotelekezwa ni wale wa mitaani sio wanaoishi na mama au baba

    Binafsi napenda kuishauri Serikali za mikoa yote ya Tanzania ziwakamate watoto wote wa mitaani ili kila mtoto awataje wazazi wake kisha Serikali ndio ihangaike na hao. Watoto ambao wanaishi na mmoja kati ya wazazi wake binafsi sioni kama ni tatizo kubwa kama la wale wa mitaani ambao kula kulala...
  10. kijanamdogo

    Manispaa ya Sumbawanga lini mtaanza ujenzi wa kituo kikubwa cha mabasi?

    Naushauri uongozi wa MANISPAA ya SUMBAWANGA kuanza mchakato wa Ujenzi wa Kituo kikubwa cha MABASI nje ya MJI ili kuupanua MJI wake.Kutokana na Barabara ya kutoka mby/sumbawanga kuwa ktk kiwango cha lami kumekuwa na ongezeko kubwa la MABASI hali ambayo inakifanya Kituo cha MABASI cha Soko...
  11. kijanamdogo

    Kwanini Serikali hairekebishii mishahara watumishi waliopandishwa madaraja toka 2015/16 kisha Aprili 2018?

    WAZIRI wa Utumishi hebu waambie Watanzania sababu zinazoifanya Serikali yetu ishindwe kuwarekebishia mishahara WATUMISHI waliopandishwa MADARAJA mwaka2015/16 baadae ikarekebisha barua za na kuwa Novemba2017 kisha imesema ni April 2018.
  12. kijanamdogo

    DALILI ZA U.T.I

    Naomba kujua DALILI za U.T.I
  13. kijanamdogo

    MSAADA TIBA YA KIUNO

    Nina tatizo la kuumwa kiuno.sijawahi kuanguka au kupata ajali imejitokeza ghafla na hata kuinama inakuwa shida naomba msaada wa tiba
  14. kijanamdogo

    Serikali warekebishieni mishahara watumishi waliopanda madaraja Aprili 2018

    Juzi Katibu Mkuu utumishi aliagiza kwa mara nyingine tena kurekebisha barua za watumishi waliopandishwa madaraja 2015/2016 .Mwaka 2017 Katibu Mkuu aliagiza barua zirekebishwe kuanzia Novemba 2017 lakini Mishahara haikurekebishwa.Mwezi march 2018 Katibu Mkuu Utumishi wametoa tena waraka kuwa...
  15. kijanamdogo

    Katibu Mkuu utumishi lini TUTAREKEBISHIWA mishahara tuliofutiwa barua za awali na kupewa za kuanzia Novemba 2017?

    Leo nimesoma waraka toka Kwa Katibu Mkuu Utumishi akizungumzia marekebisho ya mishahara Kwa watumishi 25,000 WALIOPANDISHWA MADARAJA.Najiuliza mbona sisi Wa Awamu iliyopita ya watumishi 59,000 TULIOREKEBISHIWA BARUA zetu na kuwa za Novemba 2017 Hatujarekebishiwa mishahara mpaka Leo?Tayari...
  16. kijanamdogo

    MIFUKO ya JAMII ITOE ELIMU KWA WANACHAMA FAIDA YA MIFUKO KUUNGANISHWA

    Hakika inashangaza sana ukimya Wa MIFUKO ya Kijamii juu ya Uungwanishwaji Wa MIFUKO Kwa wanachama wake.Nilitegemea elimu ya kwanini MIFUKO inaunganishwa, FAIDA na HASARA, Hatima ya wanachama na watumishi ingetolewa na MIFUKO yenyewe Kwa wanachama wake.Wanachama tunasikia habari hizi kupitia...
  17. kijanamdogo

    Ombi kwa Serikali: Ipandishe mishahara kwa watumishi waliopandishwa madaraja

    Hakika inasikitisha sana kuona bado hata wale WALIOPANDISHWA MADARAJA na barua zao kutakiwa kurekebishwa na Katbu Mkuu Utumishi mpaka Leo Hawajarekebishiwa mishahara yao.Barua hizo zilitakiwa zisomeke Novemba 2017 na tayari zimesomeka.Tunaiomba Serikali isikie Ombi hilo.
  18. kijanamdogo

    Kiwanja/Shamba kigamboni kuanzia Kwa mwingila mpaka Ungindoni

    Wadau NATAFUTA KIWANJA ukubwa 30×30 m sio hatua Kati ya Kwa Mwingira ,mjimwema mpaka Ungindoni , kuwa na Barabara ya gari umeme jirani simu yangu 0752334403.
  19. kijanamdogo

    Maombi ya kazi za afisa maendeleo ya jamii

    NATAFUTA kazi kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali .Elimu yangu Nina DIGRII ya Maendeleo ya Jamii
  20. kijanamdogo

    Humphrey Polepole acha kuchezea kodi za wanyonge kulazimisha chaguzi

    Mie naamini Bw.Polepole na Falsafa yake ya kuwalazimisha madiwani na wabunge wa Upinzani KUJIUZULU na kujiunga na CCM na UCHAGUZI kufanyika upya Kwa kutumia Mabilioni ya FEDHA ambazo ni kodi za WANYONGE Wa nchi hii inasikitisha sana. Bw.Polepole anazurura nchi nzima kushawishi wapinzani...
Back
Top Bottom