Kuna mbwa mmoja anaishi kinondoni hapo nimemtumia mzigo wa kutuma mkoani wenye thamani ya 920,000 alafu anazingua kauza mzigo wa watu Alafu anajibu kwa jeuri nimemtafta anazima simu nikaamua kwamba niwatafte ndugu zake, ananiambia basi hao ndugu ulowaambia kunichafua ndo wakulipe,
Nasema hivi...
Hello habari zenu
Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point
Kwa walio serious tu plz
Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30
Ninaishi Netherlands muda huu
Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin imekuwa ni ngumu kutokana na kwamba siishi huko, na mazingira ya ku interrupt yameishindikana,
Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.