Search results

  1. J

    Kikwete kuteua wakuu wapya wa mikoa karibuni

    Hiyo ni zawadi kwa "mama mkwe" anasubiria msahau aanze tena "kugawa shukrani kwa washikaji" ngoja uone.
  2. J

    Viongozi wa CHADEMA kutokumtambua Rais ni Kosa?

    Upuuzi mtupu, hii post imekaa ki-CCM sana. Lakini pale shati-la-kijani-CCM litakapowabana watawapigia magoti CHADEMA.
  3. J

    Lowassa amkosoa Kikwete

    hata mimi nilimsikia akisema hivyo na namuunga mkono kwa hilo lakini CCM wanajua hayo?
  4. J

    DR Slaa aeleza sababu ya CHADEMA kususa

    Mwaka ule ambao Rais Keneth Kaunda alishindwa uraisi hakuamini kwamba anaweza kushindwa. Tume ilipotangazwa kushindwa kwake, aliondoka ikulu bila ya kujiandaa na kwa aibu kubwa. Baada ya wiki moja alipanda ndege kuja Tanzania na alipewa nafasi ya kuhutubia NEC-CCM na kuwaeleza kuwa "msiombe...
  5. J

    Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

    Kumbe tuli-desa, kwanini hatuuachi tukatunga cha kwetu
  6. J

    Nusura Nitapike!

    Msamehe bure
  7. J

    USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

    Hii ni ya 2005 sijui mwaka huu mahesabu yakoje PartiesVotes%DirectAdditionalTotalseatsWomenseats seats Chama Cha Mapinduzi (Revolutionary Party)7,579,8977020658264Civic United Front (Chama Cha Wananchi)1,551,24314.3191130Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Party for Democracy and...
  8. J

    The Best Bongo Flava Tunes (yenye maudhui ya siasa)

    Nenda CCM Lumumba utapata "album" zote
  9. J

    Top Ten footballers Tanzania ever produced

    Sorry, umemsahau Rashid Mfaume (RIP)
  10. J

    Jamani hodiii..!! Nikaribisheni mwenzenu nitoe dukuduku langu...

    Basi hufai kuja hapa, nenda sehemu nyingie kama Clouds FM, Uhuru na Mzalendo, Daily News n.k. lakini karibu:sorry::blah::bump::closed_2::lalala::banplease:
  11. J

    Mazao gani yanafaa kwa kilimo chalinze?

    panda 1. Mananasi 2. Mihogo 3. Mbaazi 4. Mkonge
  12. J

    Aaarrrrrrggrr nipokeni, walitema mate chini, hata Masai hawamtaki JK,

    sasa mbona ndugu zao walimchagua huyo huyo ???? lakini karibu :welcome::welcome::welcome:
  13. J

    Elections 2010 Nani kuukwaa uwaziri mkuu?

    No tatizo lazima awe "mkristu" ili kubalansi pale juu. Kwa hiyo sio kweli ... god forbid.
  14. J

    Je ni kweli?

    Kwa ndume hakuna madhara, kwa jike anaweza akapoteza uwezo wa kufikiri kimaantiki.
  15. J

    Kwa mnafahamu

    Angalia hapa: www.jamiiforums.com/.../52300-wivu-wa-mapenzi.html
  16. J

    Eid-Mubarak

    Amina
  17. J

    Elections 2010 Dosari za Magufuli hizi hapa

    Tatizo CCM hawawezi kutoa Waziri Mkuu kwenye makabila "influential" - ukichukia haya shauri yako, japo haijaandikwa mahali bali huo ndio kumuenzi JKN (RIP).
  18. J

    Asilimia 98 hawamtaki JK

    Kamuulize mjomba wake Jaji Mstaafu Makame kwa kufoji na kutafuta namba waliyoitaja SYNOVATE (61%) aliitoa wapi?
  19. J

    Elections 2010 JK agwaya kutaja wabunge wa kuteuliwa?

    Wakati mwaka 2005 kazi ya kutaja wabunge wa kuteuliwa na Rais kwa mujibu wa katiba ilikuwa rahisi mno kazi hiyo mwaka huu inaonekana ni ngumu na ndio itakayo mtoa au kumtosa kabisa JK. Mwaka 2005 nafasi nyingi zilikuwa za "kulipa fadhila" mfano: yule zuzu Tom Mwang'onda, Yusuf Makamba, RC...
Back
Top Bottom