Tangazo kwa Umma.
Ndugu Watanzania tunasikitika kuwatangazia kuwa maji yaliyobaki Mtera ni ya kuchambia tu! Sasa tuamue tupate umeme na tubaki na mavi au tuchambe tukose umeme.
Asanteni, Ngeleja.
HAWA VIONGOZI WAKISHAFIKA HUKO MJENGONI AU WAKIKAMATA DHAMANA ZA KITAIFA WANASAHAU KWAMBA WANA UWAKILISHI WA VIJANA AMBAO NI WENGI KWENYE JAMII NA WANAENDELEZA UOZO.
DAWA
SIJUI MUARUBAINI WETU TANZANIA UKO WAPI
Wengine wanasingizia MUUNGANO
Taso na Msema Ovyo
Inawezekana kuwa faida za kuwa na Muungano hamuzioni. Sasa, hebu tuelimisheni faida za kutokuwa na Muungano.
Dr Slaa nasema YES Muungano
Maalim Seif anasema YES Muungano
Mrema Anasema YES Muungano
JK Anasema YES MUUNGANO.
Wewe unaesema no, tupe hoja zako.
Huoni kwamba...
TASO
Si tumeambiwa tutoe maoni? mimi nimeweka maoni yangu kwamba kuuvunja muungano ni:-
1. Kurudi Nyuma, tunatakiwa tuwe na United Africa (Angali EU; kumbuka wakati tunapigania uhuru; mpaka BOB ALIIMBA AFRIKA UNITE)
2. Kutukana uongozi ulioingia kwenye muungano.\
3.Kukana asili ya umoja na...
Kama mtakumbuka Uchaguzi Mkuu wa cdm uliopita ulikuwa na mazengwe na kupelekea Chama kupoteza wanachama na viongozi mashuhuri. Binafsi sikupendezwa na hilo na hizi tetesi za manung'uniko miongoni mwa Wanachama zitapeleka cdm pabaya. Kuna watu wameaza kujenga imani eti Mwenyekiti wa cdm lazima...
Feedback
Samahani sana ndugu mwana jukwaa, hivi teseme hujaona michango mitatu kwa thread hii iliotangulia wa kwako kutoka kwa Mankipe, Skirt Chaser na Arafat?????
Ukiendelea na utaratibu wa ku-comment without evidence, unakuwa destructive na sio constructive. Sijachelewa kubaidi kwamba wewe...
Zanzibar na Tanganyika tangu zama za zama; ni kitu kimoja; tumetenganishwa na wakoloni. Wazanzibari ni ndugu zetu, na Sisi ni ndugu zao. Hivyo suala la Muungano ni muhimu uendelee. Kwanza itakuwa tunawaenzi viongozi wetu na kudumisha umoja wetu. Tukujitenganisha tu, tumekwisha na laana ya...
Mimi naona tangu agaragazwe na Kikwete mwaka jana; amekuwa low profile sana; ukiachilia vurugu za uchochezi anazofanya za hapa na pale. Anyway, he would have made a better MP and Leader of the Opposition than Kijana Aikaeli.
Ndio
mie nikimkumbuka huwa nalia!
Nalia kwa success na lia kwa mapungufu.
Nina ndugu zangu jeshini wamekuwa walemavu kwa ile vita, alafu kuna thread nimeona mkuu wa majeshi zamani anzungumza kusahauliwa kwao; kuna watu wanaleta kebehi za mtaani. Eti wanajeshi wanakumbukwa kuliko polisi...
National Institute For Medical Research.
Tanzania Persticides Research Institute.
National Electoral Commission.
Ile ya HOSEA siitaji; kwa sababu ina madudu yake. Inapaswa ifanyiwe ukarabati.
MOI.
Nk kwa upande wa Serikali
Lakini pia kuna taasisi za sekta binafsi.
Tumefanikiwa kuwa na Uhuru wa...
Tumefanikiwa kuwa na Demokrasia ya Vyama vingi na Utawala wa Sheria
Tumefanikiwa kugomboa nchi za Afrika kutoka kwa wakolono
Tumefanikiwa kutatua migogoro yetu ya ndani pasi na kuingiliwa.
tumefanikiwa kutatua migogoro ya majirani zetu
Tumefanikiwa kumtoa nduli amin
Tumefanikiwa kuwa na taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.