Nasikitika sana kama aliyeandika hapa umebahatika kupata elimu hata ya darasa la saba.
Ina maana mpaka leo hujui umuhimu wa sensa ya watu na makazi kwa maendeleo ya Taifa?
Nchi za ulimwengu wa 3, lazima kufanya sensa kwasababu mifumo yetu bado haitupatii picha kamili ya wakazi wetu. Ni ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.