Mambo vipi wakuu, kwa wale wapenzi wa nyimbo za injili ambao ni wasikilizaji sana wa upendo radio kuna wimbo flani huwa wanaupiga mara kadhaa unaanza na ASUBUI KUMEPAMBAZUKA nadhan umeimbwa na kwaya flan ya kkkt, anaeweza, naomba nisaidiwe niupate.
Kama heading inavyosomeka, nahitaji kisimbuzi cha azam cha dishi, sio lazima kiwe complete na dishi kwani naweza nikaunga kwa kutumia dishi lolote nililo nalo.
Zingatia: Kisiwe yale matolea ya zamani.
Ndio, ni ukweli uliowazi kabisa kuwa asilimia kubwa ya wa TZ ni wajinga.
Nyie ni watu musio na shukran, wakati wenzenu wanapambana kuwatete mpk kufikia kuumizwa vibaya na kutaka kuuawa, wengine wakiishia kwenye magereza kwaajili ya kuwapigania nyie, shukran yake ni kuwatukana, kuwadhiaki, na...
Habari, viwanja kiluvya makurunge bado vipo, karibuni mujionee na kuweza kujipatia chako, vipo vya location tofauti tofauti.
Location -
Kiluvya kwa muhindi- bei ni milion tatu.
Kiluvya majumba sita- bei milion tatu
Kiluvya kwa omary - milion tatu na nusu
Kiluvya makurunge (shule) - milion tatu...
Niuzie freezer ndogo ya biashara, iwe haijatumika sana, ukiwa na risiti ya manunuzi itapendeza zaidi. Bei isiwe zaidi ya laki mbili na nusu. 0752399070
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.