tumuanzishie vita vya mtandaoni hata kama ni chakla ya boss atatoka tu,kusanya ushahidi hata wa picha nitakusaidia kumdhibiti kupitia fb,twitter,whatsapp,instagram,skyper n.k
kwa kifupi kwa kuwa wewe inaonekana una IQ kubwa kajaribu kwenda kupewa iyo md pale imtu, kcmc n.k nitakulipia ada na accomodation tena na stationary ili next time ukija hapa uwe na ushahidi kuwa umeiokota.
na kama mkeo kapigwa PV alipokuwa anafanyiwa PVE na wewe ukapigwa PR ulipokuwa...
chama,waarabu walikuja kufanya biashara ya kuuza binadamu na walipokuwa wanaumwa walikuwa wanafungwa porini na kuachwa wafe.
wamisionari walikuja wakaiba madini na kujenga mashule na mahospitari ili watu wasome na watibiwe,tena wasiotaka shule walikuwa wanapelekwa kwa bakora,mpaka uhuru mashure...
Nape Nnauye bado ni mkuu wa wilaya (DC) na anatarajia kukabidhi ofisi siku chache zijazo ili aweze fanya kazi za ccm vizuri.
source: N. Nnauye on TBC interview.
:yell:
Kweli chaguzi ndogo ni gharama kwa nchi masikini kama tz.
My take:
Mbunge au diwani akifa au akifukuzwa uanachama basi jimbo liendeshe na mkurugenzi wa halmashauri na kata iongozwe na afisa mtendaji.
Suala la kurithishana jimbo na kata,mtatiro fikra zake zimefikia ukomo na anaelekea kuwa...
Cha msingi hapa ni nchi yote kuandamana kushinikiza baraza la mawaziri livunje na wabovu wote wasirudi barazani.
Kumuondoa Nkya na Mponda pekee kwa shinikizo la madaktari si sawa,wakati wapo wabovu kushinda wao. Kama vipi JK naye ashinikizwe apigwe chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.