Mamboz,
Nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu JF muda mrefu kidogo, kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious. Yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi basi ni hajatulia hivi, au tu wabaya hata hatutongozwi, lakini huo mtazamo sio sahihi.
Tunajitambua, ni vile tu...
Habari zanu wapendwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni binti mwenye 28 yrs, elimu yangu ni Diploma, ni Mjasiliamali, naishi mkoa wa Mtwara, mkristo, Situmii kilevi, sina mtoto. Uzito wangu ni kg60
Vigezo vya ninayemuhitaji:
> Awe mkristo
> Elimu yake akinizidi mimi hapo itakuwa...
Habari zenu,
naishi kusini mwa Tanzania, natafuta mpenzi ambaye baadae MUNGU ikimpendeza anaweza kuwa mume wangu.
Nina uhitaji sana sana soma wasifu wako na wangu ukiona unaendana karibu.
WASIFU WANGU
Nina umri wa miaka 26.
Elimu yangu ni diploma
Sina mtoto.
Rangi maji ya kunde.
Ni mrefu sio...
Habari zenu? Poleni kwa majukumu ya siku nzima
Nakuja kwenu kuomba ushauri. Nahitaji kufanya biashara kwenye huu mji ninaoishi lakini October naenda kusoma mkoa mwingine na mimi bado sijakomaa ki vile katika biashara. Hivyo ninaomba mnishauri ni biashara gani naweza kuifanya kwa kipindi chote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.