Wale tembo aliwowaua na mikataba waliofanya kuuza Ngorongoro enzi zake na utawala huu wa sasa unawaumiza watu hasa Wamasai. Ila wao binafsi vipato vyao vimeongezeka.
Bi tozo amekataa kuwa remote mbona amechelewa. Kafukuza wote wenye uwezo mkubwa wa kumsaidia, akakubali kuweka vilaza na kumnyamazisha PM.
It makes sense hizi siri huyu binti anapewa na walioshikilia remote, ili SSH asigombee tena 2025. Ila ni uzembe wake umemfikisha hapa. Inaonekana alishtuka...
Kuna walakini. Namuona Kikwete, Mpango, Majaliwa na wenza wao kwenye shughuli mbalimbali za kitaifa, ila sio yeye.
Ngoja tuangalie. Elimu yake haileweki, amesoma wapi, level gani.
Familia yake hatuijui. Yeye ni mke wa ngapi?
Wako wake wangapi kwenye ndoa yao? Wake wenza wengine ni kina nani...
Uwezo huu mkubwa wa wapinzani kufikiri, uwezo huu wa kuja na hizi sera nzuri za kimkakati zitasaidia kutatua matatizo ya wananchi! Akili zao zinatawaliwa na chuki, bila hata commonsense, bila shaka zitawafanya Watanzania wawape nchi.
CCM ya sasa na upinzani hakuna tofauti. Wote wanataka...
Pole, Binadamu ni vigumu sana kubadilika wakipata addiction kama hiyo. Ukimshauri sana mtagombana. Ni mpaka aamue mwenyewe au apate janga kubwa litalomwamsha.
Ndio maana Ukraine anaishiwa na pesa kila wakati. Urusi huwa anamtumia drones kama hizi kila wiki. Hakukuwa na ulazima Israel kushambulia ubalozi wa Iran pale Syria.
Labda wote wanajua anayoyasema huyu binti ni ya kweli. Ukichunguza huyu mama haeleweki kwenye hafla kubwa viongozi wengine wanaenda na wenza wao. Yeye ni nadra sana kumuona na mwenza wake.
Huyo binti nafikiri walikuwa na dili, maelewano flani hivi na SSH labda mpunga mrefu au labda ubalozi Marekani kwa kumpigania Samia na kudhalilisha JPM.
Alikosa vyote, akaambuliwa kurudishiwa passport yake na kupiga picha mshikaji wake Samia.
Hivi ni kina nani walikuwa wanatoa siri za ikulu na kumpa huyo binti wa Marekani na upinzani wakati wa JPM, kuna taarifa ni Samia na hao vijana wake ndio walikuwa wahusika wakuu. Kwahiyo nafikiri ni sahihi kusema wanajuana.
Samia alipoingia tu kwenye kiti waliacha kuvujisha taarifa za ikulu.
Akiendelea hadi 2030, Tanzania inaweza kuwa kama Yemen au Somalia, makundi, udini, ukabila, tofauti kuongezeka kati ya bara na visiwani, vita kati ya matajiri na maskini, wanawake na wanaume, umaskini wa kutisha kwa wengi, ufisadi rushwa, wizi, ujambazi, utapeli wa ardhi, nyumba, mashamba...
Haha, yeye na washikaji zake ndio mabingwa wa kuwatukana Watanzania, wapinzani wengi wanatumia lugha hizo hizo za matusi, ukitumia matusi unaonekana wewe ni mtoto wa mjini, msela hata hapa JF matusi ndio kama lugha rasmi ya kuwasiliana.
Vipi kama yeye ndio kamtuma aseme hivyo?
Sikubaliani na lugha ya matusi anayoitumia huyu mwanamke wa Marekani lakini point zake zote ni za ukweli. Nchi imemshinda, teuzi, hovyo, huduma hovyo, mfumuko wa bei, kodi, tozo, huduma serikalini hovyo.
Ndio kwanza wanajiongezea marupurupu kwa wenza...
Alipiga naye picha Marekani.Naona Samia Chickens are coming home to roost. Huyo mwanamke alikuwa chawa wake.
Mtangulizi wake ametukanwa sana na huyo mwanamke, mitandaoni, wapinzani na alitukanwa na wengi ndani ya baraza lake la mawaziri, hajawahi kutoa tamko kukemea chochote.
Ndio kwanza...
Alipiga naye picha Marekani.Naona Samia hajampa alichokitaka. Chickens are coming home to roost.
Mtangulizi wake ametukanwa sana huyo mwanamke, mitandaoni, wapinzani na wengi ndani ya baraza lake la mawaziri hajawahi kutoa tamko kukemea chochote.
Ndio kwanza alikuwa anachochea moto kwa kauli...
Ngoja tuone, ila naona ni mtu pekee anayeweza kuinyoosha Arusha, kaskazini kwa vijana wa leo, familia zao, kuweka misingi kwa vijana.
Kwamba halali ni muhimu, maadili muhimu, tusitumie madawa ulevi, wizi, ujambazi, noti feki, pombe feki, kila kitu feki kuishi. Tunaweza kuishi kihalali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.