Kwani Lowasa bado yupo chadema?
Na unakasirika Dr Slaa kuwa miongoni mwa watu wanaotetea maslahi ya nchi?
Kesi ya ugaidi ilikuwa ni serikali ya JPM au Samia?
Mwacheni Dr Slaa afanye kazi zake za kutusemea watanzania, kama ulivyomuona kwenye sakata la bandari
Na isitoshe chadema na viongozi wake...
Mwambieni Lisu aache kudeka.
Yaani analinganisha mikutano ya Makonda na matembezi ya chadema?
Nitayaita maandamano siku waandamaji wakijiongoza wenyewe bila Lisu au Mbowe
Huo ni uzululaji tu, katika Dunia ya kisasa siyo lazima utembee, kuna namna nyingi za kufanya mawasiliano, na isitoshe hizo nchi zina balozi wetu
Huyu ni mzululaji kama kakake
Kiongozi wa nchi aliyeshindwa kusoma mkataba wa bandari na kuulewa anapewa heshima ya PhD ni ujinga
Aliipokea nchi ikiwa uchumi wa kati leo tupo ziro!
Alafu unampa PhD?
Roman Catholic Church haifanyi kazi kwa taharifa za vijiweni
Msimamo wa Kanisa na Papa uko wazi
Kazi ya Kanisa ni kuwaombea mashoga wabadilike hiyo habari ya kubariki ndoa za mazhoga waachie BBC na Anglican Church huko Uingereza
Umesahau, ameaongezea mishahara minono watumishi wa umma, Sasa hakuna mtumishi anayalalamika!
Na tutazidi kumkumbuka huyo Samia kwa kuwasupoti watoto wetu wadogo wazaezae hovyo hovyo ili shule zetu zisomeshe wazazi badala ya watoto!
Na tutamkumbuka sana Samia kwa uongozi mbovu kuliko wote tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.