Awali ya yote Nikiwa kama member Wa jf nawasalimu nyote, na nawasilisha mjadala kama ifuatavyo;
Mimi ni muhitimu Wa form four na nimepata wastani Wa Division four ya 27 (4:27) ikiwa na alama zifuatazo za masomo;
Civics D,
History C,
Kiswahili D,
English C,
Geography D,
Biology D, na
Math's F...
Mhh ! Pigana mkuu wakati wewe unaota kufanikisha ndoti Fulani wenzako asubuhi wanaamka na kuifanyia Nazi ndotoyako , hivyo anza kutengeneza naye urafiki na uwe MTU wake Wa karibu ndio approach yako ianze kila LA heri .ila utuketee mrejesho.
Mpira Wa man u sio Wa kumpa shabiki furaha hasa tukikutana na timu kubwa
Njia bora ya kudifensi ni kushambulia tu. na si kupaki basi kama falsafa za makocha Wa zamani ,sikuhizi mambo yanebadilika makocha wamekuja na mbinu ya kukabia juu ili kujilinda na wakipata moira mashambulizi huanzia...
Kwa kutumia akili utagundua kuwa njano ni sahihi kwa sababu inawakilisha madini yote lakini ya gold ni kwa dhahabu pekee hamuoni udhaifu hapo? Kwa hiyo acha njano ibaki kuwa sahihi na so gold !!!
mchezaji hatari sana ambaye hajapata viungo wa kumlisha pale man utd chukulia picha angekuwa yupo city viungo kama debluine na sane [emoji27] [emoji28] [emoji29] jamaa angeng'ara sana!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.