Mkuu kifupi ni kuwa wanalilia huo usawa lakini hata ukiwauliza ni usawa Gani hawawezi kujibu. Maana unaweza kumkubalia anachotaka halafu badae anabadilika anakua hataki tena. Yani basi tu we can't understand women at all. Ndo mana Mara nyingi ukiona huelewi unanyuti kimya ..
Nitajibu kifupi tu.. Kwamba, mwanamke unapoolewa huwa unatoka mikononi mwa wazazi na kuingia mikononi mwa mume. Hivyo yote ulokua unawaskiza wazazi yanahamia kwa mume isipokua kwa mume kuna nyongeza. Heshima, usikivu, uvumilivu nk vyote vinahamia kwa mume. Hivyo hupaswi kushindana na mume kama...
Mwanaume yyte anaesema hawez kushika wala kufatilia simu ya mke wake huyo ni bwege
Mimi mmojawapo aisee. Kuishika na kuipekeua ndo kutojiamini kwenyewe. Mara nyingi mpekua sim ya mwenzie huwa kuna kitu tu bila shaka anakitafuta. Na Mara nyingi kile kitu hujienga na hutokea kweli na kukuta maana...
Usilie bro maana ulikua buzi. Hayo Fanya akiwa Mke na si mpenzi. Mjini hapa. Hata akikubali umuoe basi mwangalie vizuri maana wengine saivi wapo so strategic .. Unamuoa unampa kila kitu anakuacha solemba. Kifupi kupata Mke saivi ni ishu sana. Wanawake ni matapeli hatari na hata wanaume pia. Pole...
Sasa mbona hatukuelewi!? Ndivyo wapenzi wanavyoishi hivyo? Unamwacha tu huko kijijini we upo mjini unaenda baada ya miaka miwili? Ni mzazi au Mdogo wako huyo? Unafikiri si anaona unamtumia tu maana hujamuoa? Hapo sio wa kwako peke yako hivyo huwezi kumcontrol ..
We ngoja tu kikikufika ndo uje utuambie. Au mwenzetu kuna MTU alikufa akarudi akakupa habari hizi au ni mawazo yako ? Vizuri usiongee jambo bila ushahidi au yakini..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.