Kuna dogo nimemkuta jana kainamia desk top anachat na hao matapeli, uzuri akaongea kabla hajaulizwa kwamba kuna rafiki yake anachat nae kamtumia mzigo, wamekosa ndege ya moja kwa moja Dsm hivyo wameushushia Jomo Kenyatta Airport😁😁
Nikamuuliza kama anafahamiana nae kwa sura, akadai ni rafiki...
Hiyo fani ni nzuri, inampatia fursa ya kujiajiri mwenyewe pasipo mtaji mkubwa ( Mtaji wake ni ofisi na vitendea kazi baadhi).
Akiwa fundi mzuri na akajulikana ni biashara nzuri sana kwa maeneo yote, mjini na vijijini, ushuani na uswahilini.
Pole sana mkuu.
Vitu vinatafutwa, kubaliana na hali.
Ruhusu apate haki yake nawe upate haki yako.
Using’ang’ane sana mkuu, huwezi kujua aliwazalo mwenzio.
Kuanza upya ni kazi lakini ni kheri kuliko kuingia kwenye migogoro ambayo inaweza kupelekea kutangulizana Akhera.
Mwenyezi Mungu...
😁😁😁
Mwandishi anasema miaka 28 ya ndoa lakini bandiko lake linaonesha ni miaka 25 ya ndoa.
Nimeishia tu hapo kwenye “Sio ving’aavyo vyote ni dhahabu”
(Kwamba Shetani akaingilia kati, kuna muda Shetani tunampa lawama tu).
Wala hakuna cha kutilia shaka, mambo ya usafi tu yamempita kando.
Nunueni dustbin awe anatupia humo kabla ya kuzichoma.
Ama la alizihifadhi akiwa nje ya nyumbani kasahau kutoa.
Ongea nae.
Hujaelewa swali langu.
Mkuu, mimi sio mtaalamu wa aquaculture ndio maana nimeleta hapa kupata uelewa, lakini hata hivyo swali langu ni, je, hicho chakula chenye mlengo wa kubadili jinsi ya samaki hakiwezi kuwaathiri samaki wa asili? Jike [emoji3591]dume, na kupunguza mazalia asilia ya samaki...
Anapoishi Mpango hakuna hekaheka, Anapoishi Ajibu heka heka zipo za kutosha, sema kwa maeneo kama hayo jali ustaarabu wako. Unakuwa wa kuingia na kutoka.
Pole sana mkuu[emoji24][emoji22]
Mwenyezi Mungu akawe mfariji kwako na kwa familia katika kipindi hiki kigumu mnachokipitia.
[emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431][emoji1431]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.