mwanakijiji kwa udini utatisha,dah sasa hi kuileta humo jf ndo nini?kuwa inchi inauzwa kwa waislamu sio?Hao wanao kuhifadhi huko wakatitiliana mkataba wa misaa ya kijeshi na TZ pia utaleta hum?
Najua kwa kumwabia haya huenda ukasusa,lakini hata ukisusa najua utarudia tuu,kwani Chadema...
MWANAKIJIJI USILAZIMISHE HOJA!!!!TOA HOJA WATU TUJADILI USJE NA SIDES ZAKO HUMU NA UCHADEMA WAKO!!!!
SUALA HILI LIMEUNDIWA TUME ANYWAY!!!!
lAKINI JEURI YAKO YA KUTAKA DR DAU AWAJIBIIKE ILIKUWA YA HALI YA JUU SANA NA CONFIDENCE YA HALI YA JUU KABISA.
MAGARI YAMEGONGANA TARIME NANI...
Gembe umenena!!!Hilo nadhani hata mwanakijiji ndilo alilokuwa anajaribu kusema lakini kimtindo,MWISLAM!!!gEMBE UMENENAAAAAA!!!!NA KILA ANAPOKAA MWISLAM BASI HAPAISHI SHUTUMAAAA KWA SABABU TU MWISLAM,SASA NCHI HII MNATAKA MUONGOZE PEKEE YENU???
mwanakijiji,ili raisi awajibike kitokee nini?
Gari la Nssf limegonga Dr Dau awajibike!!!!
Stafff wa Nssf amefariki Dr Dau awajibike!!!!
Gari la Nssf halijakwenda service Dr Dau awajibike!!!
Mbona husemi Pinda awajibike?na yeye ndio mtendaji mkuu wa serikali?
Mbona mkuu wa mkoa husika husemi...
Mwanakiji huna nyimbo,LAZIMA ukubali kuwa ulikurupuka na MIJAZBA yako ya chuki Binafsi,sie tunakujua wewe kuwadi wa Chadema,sasa tunakwambia CHADEMA HOYEEEE!!!!Unajua unapokuja ktk forum kama hizi,kwanza unatakiwa uache unazi wako wa chadema,uweke pembeni,maana tayari umeshatoa na article kwenye...
Na utaona sasa hivi kakaa kimyaa,lete data sio jazba,jazba zako hazisaidii kitu.kuna kitu kinaitwa OCCUPIERS LIABILITY,je unajua maana yake ni nini?acha jazba zako,CHADEMA HOYEEE!!!!
Asha Abdalah(mdee),acha kuwazuga watu,jamaa yako amejikita moja kwa moja kwa Dr Dau ajiuzulu,ilikuwa yeye kwanza aseme hayo unayo yasema wewe sasa,na sio kuwa dr Dau ajiuzulu.
Offisciual report ya serikali imekili kuwa watu 40 walikuawa na polisi kimakosa pemba,je nani alijiuzulu?Mv Bukoba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.