Kosa kubwa tunafanya wanaume ni kuacha mwanamke! Unatakiwa mwanamke akuache yeye, hapo hakutakuwa na shida. Ila ukimuacha wakati bado anakutaka, hakuna rangi hutaaacha kuiona hapa duniani, na hata ukifa kaburi lako akiliona lazima alichape na fimbo.
Si wote hatutoi matunzo, tunatoa hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.