Wasalaam Wakuu,
Nahitaji Jumapili hii nikabadilishe ATM Card yangu imezingua na nafasi niliyonayo ni Jumapili tu. Je, kuna tawi lolote la NMB inayofunguliwa Jumapili ninayoweza kupatia huduma hii?
Natanguliza shukrani.
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi.
Naomba kama yupo anayejua taratibu za namna ya kuandika barua ya aina hii ya madai au malalamiko kwa muajiri wangu...
Natumia iphone 7plus Kuna baadhi ya Apps kwenye simu yangu zimeanza kugoma kufanya kazi zikinihitaji ni update kwenda ios 16/17 version nimeingia sehemu ya ku update hamna option ya ios 16 wala iyo 17
Msaada wenu jf techs
Kichwa cha habari chahusika wakuu
Nahitaji kufanya mazoezi ya Gym location iwe ni Kinyerezi na Makumbusho maana kwa siku tatu nakaa Makumbusho na Siku nne nakaa kingerezi
Bajeti isizidi 100k kwa mwezi
Salaam wakuu,
Niko mwaka wa pili chuo "X", huyu Lecturer ni mwanamke na pia ni Profesa. Amekuwa rafiki yangu kwa muda wa mwaka moja sasa, huwa nachat nae sana hadi zile sms za kimapenzi lakini sikuwahi kumuonesha hisia kuwa namtaka kimapenzi na mara nyingi huwa tunapeana hadi zawadi ndogondogo...
Niko Moshi nimejaribu kuzunguka maduka yote ya cosmetitcs mjini moshi lakini nimeyakosa...Naomba msaada tafadhali kwa mwenye uelewa yanapatikana wapi nipo tayari kufanyiwa delivery
Kama mada tajwa hapo juu inavojieleza, Ndugu zangu wa uganda naomba mwenye uelewa na Organization structure/chart ya Uganda Wildlife Authority anisaidie,Nimejaribu kuisearch google and other sites lakini sijaipata, Nitashukuru sana kama nitapata na strength na weakness za hiyo organization...
Baada ya mama kutuongezea chajuu kidogo kwenye salary nimeamua kujilipua benki nimevuta mkopo wa mulioni ishirini, milioni kumi nimefanyia finishing ya nyumba yangu ya kuishi na kumi zilizobaki nataka nifanye biashara ya kununua na kuuza korosho almaarufu kangomba.
Naomba mwenye uelewa...
Salaam wakuu, nahitaji kufungua kiwanda cha kutengeneza furnitures kama vile vitanda, milango, madawati, makabati n.k nimesikia Dubai zinapatikana kwa bei rahisi sana, mwenye connection anisaidie.
Luna picha naitafuta wadau Maandishi yake inaanza na neno The law of karma baadae inafatia maneno ya This universal law state that every action has reaction baadae yanafuatia maneno flani nimeyasahau....Kwa mwenye Mayo hiyo picha naiomba tafadhali
Salaam kwenu wanajamvi...kuna mdogo wangu amepangiwa wilaya kibaha shule ya msingi MAHUNDI..napenda kujua umbali wake kutoka kibaha mjini na mazingira yake kiujumla.
Wanajamvi nipo mwanza Nina bajeti ya laki nne nahitaji TV Kati ya hayo makampuni mawili kwa mwenye nayo anijulishe tafadhali tufanye biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza simu aina ya Sumsung Grand prime plus bei ni laki mbili (200,000/=), simu ipo katika hali nzuri na haina tatizo lolote nimeitumia kwa mda wa miezi saba, Naiuza baada ya kupewa simu nyingine kama zawadi na ofisi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.