Acheni bla bla bla, Ndege mlizo nunua ni Mali ya uma, toeni mahesabu yake myaweke wazi mana ni mali zetu watanzania sio zako na mjomba wako. Kwanini mna act as if you own us?
Nyie ni watu mna tuona Sisi wajinga sana.
Cheo ni dhamana- wekeni Mambo wazi msituchezee akili zetu
Kaka salaam
Wewe Unachanganya sana mambo - kila siku ni sarakasi tu .
Husimami sehemu moja tena inaonesha una mihemuko.
Isinifikirie vibaya lakini kila siku new strategies daaa
Deo kuna dawa zinaitwa Clozaril au Clozapine tumia zitakusaidia sana, ila kama unasikia voices tumia Diazapen uta calm down eventually na kukiongoza chama chako.
Trust me brother.
Ni habari njema sana kwa nchi, wa Rusi kwa sasa wapo juu katika vifaa vya kusaga vya kijeshi.
Mfano wana defense system Inaitwa S- 400 ina uwezo wa kushambulia kitu chochote kuanzia size ya mpira wa miguu katika km 400, ndio mana mfano Turkey alivyo angusha ndege yao kesho yake walishusha pale...
Hii vita Nimegundua ilikuwa ya matakwa ya wachache waliokuwa na self interest.
Hata mimi nimeshangaa sana kuwa waganda wa makabila mengi ukiacha wa Acholi wale wapo kama wa Sudan wanamsifia sana General Amin kuwa kipindi chake kilikuwa na amani nchini kwao ambayo haijawahi kufikiwa na pia...
Nadhani JPM ana point, ni vizuri raia walipwe kwa consulation tu tena kama kampuni.
Na ikifika hapo basi tulipe hata big security companies za duniani ku structure haya madudu. Mzani wangu ime elemea kwa jembe JPM
Nimekuwa nikitafakari jinsi mikopo hii ya riba kubwa ilivyo shamiri katika jamii.
watu wengi wamejikuta wanaingia katika mtego huu ambao kutoka sio rahisi.
Licha ya kwamba mikopo hiyo halipiki sababu ya ujanja wa wakopeshaji (kuzima simu n.k) pia huikosesha serikali mapato in form of taxes...
Hahahaaaaa hii serikali sasa inatuona wote ni mabwira.
Watanzania tunalipishwa kodi nyingi sana,haki ya nani mimi wanangu watasafisha maeneo ya nyumba yangu tu!
kama wameshindwa ku provide essential services (Merits) tools na equipments kwenye serikali za mitaa na kuhakikishajMajiji yanapewa...
hippocratessocrates;13808045]Mkapa hakutajwa?
Ukiangalia style aliyo itumia kwa mpeperusha bendera wa magamba ni tofauti ya Mzee Mkapa
ambae taarifa ya matibabu yake yalijulikana kwa taifa lote. pia afya ya Mheshimiwa Jakaya inajulikana wazi alishawahi kuanguaka mbele ya kadamnasi na pia issue...
Nimetafakari sana sentensi ya Sumaye jana alipouliza Iwapo J Magufuli haumwi na kwamba wanafuata nini ulaya?
Haya wenye busara naomba mnifungulie hiyo hekima iweje amtaje yeye tu?
Asilimia 90% ya vita duniani zinaletwa na tofauti kati ya madhehebu ya kiislamu yaani shia,Shiite ,sunni na nakadhalika.Kunabtifauti ya jinsi kitabu kinavyo tafsriwa na hao wanaofikiri wanajua.
Angalia mauaji ya Iraq na Syria ni sababu ya waxhache wanaofikiri wao ndio waislamu zaidi.
Inatakiwa waelewe kwamba Kinana anatuhuma za ujangili wa tembo, imethibitishwa na vyombo vya kimataifa kuhusu kuhusika kwake, sasa iweje naye atatue migogoro ya ardhi?
Wonder shall never end!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.