Nimekaa hosptali kuanzia asubuhi mpaka sasa hivi saa sita hapa. Dar Group. NHIF mtandao hausomi.
Nimesikitika sana. Naumwa jino nina maumivu makali.
Nimeshindwa kupatiwa huduma.
Inaathiri muda wa kazi maana nimeomba ruhusa.
Tafadhalini fanyeni maboresho hali hii sii njema
Naambiwa...
Kutenganisha taka kutarahisisha urejelezaji na ushughulikiaji salama wa taka ili kuokoa mazingira
Taka ni tatizo kubwa. kila mwaka kuna kiwango kikubwa cha taka kinaingia katika mazingira. Hali hii inaleta athari kubwa kwa viumbe pamoja na mimea duniani. Kwa mfano karatasi za nailoni...
Hukumu ya kifo kwa makosa makubwa yaweza kuleta mabadiliko makubwa nchini
Najua umevutiwa na kichwa cha habari cha andiko hili. Najua Makala hii itapokelewa kwa hisia tofauti kutokana na maudhui itakayokuwa imeyabeba. Nikutahadharishe kabla huajendelea kuwa msingi wa Makala hii ni mawazo...
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA WAKATI WA KUPANGA KIWANGO CHA KODI
Ndugu msomaji, karibu tujifunze kwa pamoja mambo ambayo ni muhimu kutazamwa wakati wa kupanga kodi kwa maana huwa zinaathiri maisha yetu ya kila siku. Ni dhahiri kuwa jambo la kodi linazungumzwa kwa namna nyingi, kugusa hisia...
Nauza subwoofer ya Gari. Imekuja na Gari. gari ina mziki mkubwa sana naiondoa.
inakuja pamoja na waya wake wa kufungia
Ina mziki mzuri sana. ukiwa na hii Huhitaji kujaza buti zima mamitungi kupata mziki mzuri.
Bei ni sh 200,000/=
Tuwasiliane piga/whatsapp 0713683422.
Habari za leo wana Jf.
Hakika ni ijumaa njema yenye baraka.
Hivi karibuni nimefika eneo moja la michezo ya watoto hapa jijini.
Awali lilikuwa limefungwa kwa ajili ya ukarabati kwa sasa wamefungua.
Eneo hilo lilikuwa lina maeneo matatu.
Eneo la kwanza unalipia kuna farasi magari na midoli...
Kongole kwa Yanga kuzindua jezi mpya nzuri na bora kabisa.
Kongole Makolokolo kwa kuzindua App.
Manara ni mtu muhimu sana. Walio muweka pale wana akili sana.
Weka pembeni Usemaji, anajua namna gani ya kupandisha hadhi ya Brand.
Ni hayo tu.
Siku njema sana.
Habari za leo ndugu wapendwa.
Ni kwa muda sasa nimekuwa na mazoea ya kula vyakula kama jamii yetu ilivyozoea. Asubuhi chai na maandazi, mikate au chapati, mchana ugali, jioni wali na vitu vingine.
Nimepata mtazamo tofauti ambao naona umenisaidia jana baada ya kuandaa mchanganyiko ufuatao...
Habari za leo wakuu. Kumekuwa na mtazamo wa muda mrefu kuwa wanaume wanapomtamani mwanamke wanalenga kupata penzi. Na wanawake wao wanalenga kupata fedha au mali.
Hapa naweka dalili za wanawake wenye tabia za kukomba pesa za wanaume.
1. Huwa hawanunui kitu chochote. Mara zote mnapokutana hata...
habari za leo. Nawataarifu kuwa kuna wezi wanazunguka kwenye vituo mbalimbali wakidanganya watu kuwa wanawarekebishia vifurushi vilivyotajwa na Mh Raisi. Wana swap simcars kuchykua taarifa za akaunti za benki na za mitandao ya simu na kuiba fedha.
na kama huna fedha wanakopa kutumia salary...
Pick-up double cabin
White
Imported from: great britain
Manufactured: 2004
Manual
2kd
D4d
Current location : moshi
Whatsapp /call 0713683422
Owner is a doctor
Reason for selling: requires automatic same vehicle due to left leg injury
Price: 28 million
Habari wanajf.
Nimeona nianzishe uzi huu ili kusaidia kuanika vitu feki. Karibu.
Hivi karibuni nilinunua kimashine cha kukatia chips. Ni fake na hakifai
Habari za leo wanaJf.
Nilitaka kuwekeza kwenye moja ya viwanda vya kuzalisha bidhaa lakini nikashauriwa kuagiza bidhaa iliyokamilika kuifungasha na kuuza.
Na nikajuzwa kuwa wafanyabiashara wengi ndio kitu wanafanya na inashangaza kwa biashara hata usizotegemea. Kwa mfano MO anaagiza biskuti...
Habari za leo.
Mashine seti nzima ya kutengeneza vijiti vya meno (toothpick) na vya kuchomea nyama(skewers) inapatikana.
Zimetumika kwa miezi michache.
Zipo Bagamoyo karibu na shule ya Baobab.
Ukinunua ukafunga wafanyakazi wako watapewa mafunzo kwa wiki moja. namna ya kuzitumia.
Bei ni mil...
Habari za leo. Awali niliwahi kuandika uzi kuelezea dalili zinazojitokeza ili kujua kama unatumika kwenye uhusiano.
Baada ya kukaa na kuangalia uhusiano ulionao, na kuona zile dalili unaweza kujua kuwa ni eneo gani umeathirika zaidi.
Yapo mahusiano yanaweza kuathiri akili yako, yako yanaweza...
Habari za leo.
Lofa sio tusi ni neno la kiswahili ambalo lina maana mbili:
= > Maana ya kwanza, ni mtu anayezurura asiye na kazi ya kufanya.
= > Maana ya pili ni aina ya viatu ambavyo havina kamba.
Watu wamekuwa na tabia ya kuchukulia maneno juujuu pasipo kuelewa maana yake na kuwa na dhana...
Habari wakuu. Natumai mu wazima wa afya na bado mnachukua tahadhari za COVID 19. Pengine kichwa cha habari kimekuvuta upite hapa. Karibu sana.
Kati ya vitu ambavyo vimenisaidia kukomboa fikra moja wapo ni hiki ninachokueleza leo. Umewahi kuwaamini watu ukawapa dhamana ya jambo fulani na hata...
Kuna wakati ambapo unakataa hisia za mtu kwa sababu hujavaa viatu vyake. Hii inasababisha azidi kuchanganyikiwa zaidi hata kama ana akili njema.
Wakati mwingine unaweza kujifanyia jambo hilo mwenyewe. Yaani wewe kukataa hisia zako mwenyewe
Jambo hili linachukuliwa kama kawaida lakini sio lenye...
Hapa kutumika namaanisha kuwa kwenye uhusiano kwa sababu fulani ambapo unaona ni kama mtego ambao huwezi kujinasua na unahisi kuna jambo ambalo haliko sawa lakini unaona bora liende na siku zisogee. Hali hii inaweka akili yako kutokuwa sawa na pia unaathirika kisaikolojia. Hizi hapa ni baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.