Kama NI hivyo asingepewa jiji.. angepewa hata mkoa wa simiyu, katavi au rukwa huko.. Kule yupo kimkakati kazi ikiisha anapandishwa, anaweza kuwa hata katibu kiongozi wa kizimkazi
Kama NI kweli uteuzi umefanyika kimkakati either kumkomoa Lema au kudhoofisha chama cha chadema basi mama atakua ametukosea Sana wananchi.
Sawa , uzuri wote Wana nguvu, mmoja mdomo ni mwingi mwingine vitendo vingi
Wanasema mmoja ni Mwizi WA magari mwingine Mwizi WA nyumba!!
Lema usiwe mnyonge!!!
Mkuu naomba karudie interview ya ex mkuu wa majeshi,ina maana hakuna hata mmoja aliyekuwa karibu Naye siku za mwisho za umauti wake??? Hata makamu?? Hata pm majaliwa???
Kwanini magufuli alimtumia mabeyo??? Angali viongozi wake wa juu wapo??? Magu alimuamini Sana mabeyo, alijiona yupo salama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.