Nime-download TRIAL Microsoft Office 2013 Professional Plus bit 32, na nime-install successfully.
Nataka kui-activate. Nime-install Microsoft Toolkit, lakini bado inasema UNLICENSED PRODUCT.
Msaada: Nifanyeje wanaJF??
Hodi wanaJF!!
Pamoja na kujitangaza sana kuwa wanasafirisha pesa bila malipo, system nzima ya airtel money haijatulia. Ukiitumia, it is at your own risk! Kama huamini, ijaribu ikiwa pamoja na kununua umeme.
Source: Rafiki yangu anayefanya kazi Airtel Money
Kuna polisi mmoja alijeruhiwa mguu wakati Mwangosi anauawa. Ni yule aliyemkumbatia Mwangosi kabla hajauawa na bereti nyeusi. Mbona polisi wenzake hawamzungumzii? Na inaelekea aliumia sana, huenda mguu ulivunjika. Anaitwa nani na kalazwa wapi? Inawezekana kapelekwa MOI anonymously.
Na...
Wana JF, nimekuwa katika mawazo mazito sana toka Dr. Mwakyembe aanze kushughulikia sakata la ATCL. Hili jambo limejadiliwa sana hapa jamvini. Wengine wakisema Mwakyembe kakosea wakati wengine waki-support. Hoja yangu iko tofauti na hili. Siko upande wowote wa mjadala huu.
Mara nyingi sana...
Dear Friends in JF, I badly need your help!!
I know JF is full of great thinkers.
Mtu kaniletea simu SAMSUNG GALAXY Gio GT S5660M toka Canada.
Ni GSM
Kwa bahati mbaya hii simu iko locked ili itumike huko Canada kwenye network ya Bell tu!
Sasa naomba msaada wa ku-unlock network...
Dear Friends in JF, I badly need your help!!
I know JF is full of great thinkers.
Mtu kaniletea simu SAMSUNG GALAXY Gio GT S5660M toka Canada.
Kwa bahati mbaya hii simu iko locked ili itumike huko Canada kwenye network ya Bell tu!Sasa naomba msaada wa ku-unlock network.
Tafadhali sana...
WanaJF, nimenunua leo simu hii kwa machinga, brand new. Tatizo hakuwa na Manual. Alikuwa na charger na earphones tu. Sijawahi kutumia smartphones before. Nimeshindwa kupata Manual yake kwenye web.
Tafadhali mwenye msaada anipe soft copy ya hii manual.
Natanguliza ahsante.
Mtu mmoja alimwomba Padri amfanyie misa ya maziko ya mbwa wake. Padri akasema hawafanyi misa za namna hiyo, jaribu kwingine. Jamaa: Je, wapi wanafanya hizo misa maana nina sh. million 1 ya sadaka. Padri akadakia "wewe hukusema kama mbwa wako alikuwa mkristo! Nitamfanyia tu, hamna shida!!
Microsoft's Bill Gates had decided to invest substantially in Zanzibar Island after Bangalore & Hyderabad, but later decided not to invest in Zanzibar after receiving a letter from Mr Raza.
To : Bill Gates, Microsoft
From :Raza of Zanzibar Island
Date : 1 January 2012
Subject : Problems with...
Aman was sick and tired of going to work every day while his wife
stayed home. He wanted her to see what he went through so he prayed:
'Dear Lord:
I go to work every day and put in 8 hours while my wife merely stays at home.
I want her to know what I go through. So, please allow her body...
Ni mgomo gani ambao utaathiri sana wananchi wa kawaida (wale ambao hawawezi kupelekwa India kwa matibabu) baada ya kutotimiziwa stahili zao kama haawa wafuatao?
Marubani
Wabunge
mawaziri
wafanyabiashara
madereva
wafanyakazi wa afya
mashushushu (walinzi wa ccm na watawala)
polisi
wanajeshi
n.k...
Leo asubuhi wakati wa kupitia magezeti ya leo na RFA nimesikia kwenye gazeti la Mtanzania kuwa wahadhiri wa UDOM wanapanga kugoma tena baada ya kikao chao cha jana. Watangazaji hawakuongea zaidi. Je ni kweli?? Na sababu ni ipi?? Tafadhali tujuzeni tulio mbali
:frown:Jamani leo saa 8.55 nimesikia tangazo kwenye radio ya TBC likisema kuenea kwa mobile phones ni moja ya mafanikio ya serkali ya ccm ktk miaka 50 ya uhuru!! Je hii ni kweli???
Naomba tulijadili. Mimi nasema si kweli kwa sababu haya ni maendeleo ya technolojia duniani kote. Serkali ya ccm...
Hamjambo wenzangu waTZ mlio majuu?? Naomba msaada wenu, tafadhali. Kama ume-subscribe kwenye Filesonic, Fileserve, etc naomba password tafadhali. Ku-subscribe ukiwa TZ ni ngumu kwa sababu ya ugumu wa kupata dollar. Fast downloading ni muhimu sana huku kwetu, hasa kama una-download kitabu...
Hodi wana JF!!
Nimenunua digital camera aina ya Sony Cybershot. Kwa bahati mbaya nilianza kuitumia kabla sija-set date. Sasa nashindwa kuseti date. Kumbe nilitakiwa kuseti date kabla sijaanza kuitumia. Kwa hiyo picha zinakuwa na wrong date.
Naomba msaada: Nifanyeje ili niweze kuseti date...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.