Bro pole ninakazi za kuchomelea ndio nikaona Usiku nisilale kwa sababu ya mgao Wa umeme sasa asubuhi ndio naenda kulala.
VP kwani unaumia sisi vijana tuwe Wa ajabu ninyi miaka 60 yote hamna Maji wala umeme hatujasema mizee ya ajabu tunawavumilia tu hivyo hivyo .tuheshimiane mzee
Maisha ya Somali ndani ya Tanzania
siku chache zilizopita tumeshuhudia matukio ambayo hayaeleweki kwamba ni Tanzania au Somalia ila nikapata majibu kwamba hayo ni maisha ya Somalia na tunaomba Mungu aepushe maisha ya namna ile kule Somalia wala sio huku Tanzania.
Ni nini kinatokea hapa...
The only challenge to why this smart thread will miss participants is the use of this foreign language.
Brother its good ,and l like it that why men takes burden in marriage they have to take control for everything.
Wenzetu wako mbali maana kitendo tuu cha kukubali uchaguzi wa Rais uweze kujadiliwa mahakamani inaonyesha ni jinsi gani utawala wa sheria unafuatwa .
"Never stop learning because life never stop teaching"
Mtaani ni kilio na Kusaga meno wengine wamechanganyikiwa.
Hoja yako ni ya muhimu sana maana haya mazuri yanayofanyika bila taasisi imara yatakosa muendelezo
Yaani kwa kweli mambo kama uhakiki unachukua muda mrefu kiasi hiki ni hatari maana kupanda madaraja ni haki ya mfanyakazi na pia stahiki nyingine zinazowahusu ni vizuri wakapewa kwa muda muafaka.
Kuwacheleweshea ndio kunaleta mambo ya Arreas na madai yasiyolopika kwa serikali.
Hii ni tatizo...
Tatizo la US ni kutengeneza masoko tu hapo na kuendeleza biashara zake. Ikimbukwe kwamba hiyo NK ni soko la silaha za Urrusi sasa ikichapwa tu na US kitskachofuata ni kubadili uongozi na mfumo .
Hapo tunawaletea silaha za US ili waje kuwa Wateja wetu. Hii ndio inamfanya Russia anakataa maana...
What our neighbor has said is just a precaution ,l don't see any way that Kenyans became jealous for what is happening in Tanzania.
We have a very big trust for our President for what he is doing ,especially when its come to these party of infrastructure.
If Kenyans have seen any problem...
Kama inavyojieleza hapo jipatie nyumba ya vyumba vitano IPO Arusha ,field force .
Kiwanja chake ni 20 kwa 20 unaweza pitia Ngusero au Field force .
Serious buyer PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.