"nani aliyewambia mteue wagombea urais wenye sura mbaya" by mkapa......reply ya mrema sasa "wewe mkapa ingekuwa watu wanachagua sura basi usingekuwa rais 1995 coz mimi nini sura nzuri kukuzidi"
ukawa tofauti na uliopo? kwa hiyo ushahidi upo then chikawe anasema hakuna ushahidi..... jamani mbona tunatukanwa live kuwa sisi ni wajinga, mambumbu na
na lile la kilosa alilolitelekeza hadi wankijiji wakalichukua then akaenda kuwatoa vp ataliendeleza lini au ndio land grabing and holding technique? na je hiyo haimfanyi na yeye kuwa fisadi? au nyani haoni k......nd...le
kupingana na msimamo wa mtu au mbunge ni jambo la kawaida na haina shida kosa ni kwenda kinyume na msimamo wa chama au maamuzi ya chama.....kwani hata wewe hujawahi kikiuka msimamo wa baba yako au kamaa yako yoyote?
acha majungu wewe umeshakuwa mtu mzima....... tupe source ya taairfa yako... yaaani sugu aache bunge kisa kwenda kucheza mechi sokoine eti kuzuia fiesta??????
1. alitaka kuuzia wewe na nani?
2. vp alikutupa na wewe kama condom?
3. vp na wewe unataka kugombea huo urais?
4. hiyo ya kumeza wembe sound like mipasho, vp unimbia bend gani ya tarab? kakae na wambea wako mmeze nyembe vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.