Naitwa Junior Mkazi wa DSM nina miaka 27 natafuta mchumba wa kike wa kuanzisha nae mahusiano ya kudumu
SIFA:
1.Awe na umri kuanzia miaka 19-25
2.Awe mweupe au maji ya kunde
3.Asiwe mnene sana wala mwembamba sana
4.Dini yeyote
5.Kabila lolote
6.Awe na nidham pamoja na maadili mema
7.akiwa...
Natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 21-27 awe dar es salaam tukikubaliana tuje kuishi Pamoja
Sifa;
1.Awe mweupe au maji ya kunde
2.asiwe mwembamba Sana wala mnene Sana
3.kama atakuwa ameajiriwa itapendeza
KWA yeyote aliye tayari tuwasiliane
santosdavid554@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.