Mimi ntakuwa refa
Sent using Jamii Forums mobile app
Finally nitatoa jibu na maelezo . usiigilizie majibu .
************************************
UPDATE
Hili swali linapima umakini wa kuangalia vitu na maarifa kidogo ya hisabati tu
Tom = 10 hicho kama kingedere
Jery = 5 Huyo ka...
Haiwezekani hata kombe dogo tu hili tunakosa
Ivi mpira wa Tanzania mbona haubadiliki miaka yote
Tunakwama wapi ?
Nani ameturoga yaani wachezaji hawana ubunifu kabisa aise ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ushauri wenu wa kinaga ubaga nataka kuanzisha biashara hii ....!
Je
Biashara hii inalipa ?
Zipi faida na hasara zake ?
Na nyongeza nyingine nyingi karibuni katika jukwaa tena
Nakaribisha
Sababu zenyewe ni hizi hapa zitakazokufanya usionewe
Askari akikuomba Rushwa mkamate mpeleke TAKUKURU - Kangi Lugola Waziri wa Mambo ya Ndani.
-
1. Askari akikuweka chini ya ulinzi muulize kitambulisho ni haki yako.
-
2. Askari akikukamata akuoneshe kitambulisho chenye muhuri wa mahakama...
1. Mara punde baada ya mkeka kuchanika unatamani uweke mwingine ili urudishe pesa yako
2. Baada ya kuliwa unasema naweka mkeka wa mwisho then nikiliwa naacha baada ya siku mbili tatu ukipata pesa ya ziada unatenga kiasi kidogo cha kubet
3.kudiliki kukopa pesa ilimradi ukabet
4.kufatilia sana...
Kama wewe ni mwanaume au mwanamke na hukuwahi kushiriki tendo la ndoa katika maisha yako mpaka ulipooa/kuolewa au miaka 25 tupe mbinu uliwezaje ..!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.