Nazungumzia kumpata mgombea kwenye vyama vyetu vya siasa. Kitendo cha kutuigizia kuwa wanachama wanamkubali mgombea mmoja 100% Ni uongo na unafiki.
Tuanze sasa kubadilika na kuruhusu watu wote wenye sifa kuchukua fomu za kugombea urais kila uchaguzi unapofika. Tusiwe wachoyo.
Ahsanteni.
Ulishawahi kupita maeneo au umekaa sehemu ukaona kitu kizuri kinauzwa ukawaza kumnunulia mtu kama zawadi ukaghairi au ukakosa mtu wa kumnunulia.
Mie imewahi nikaamua tu kuacha kwakuwa mtu mwenyewe kuja kwangu mpaka abembelezwe.
Ndugu wanajamvi sasa hivi kunashida ya vocha cha Vodacom hasa za shilingi elfu moja moja haziingii.....zile za kukwangua . Sijui tatizo ni lipi hata watoa huduma wameshindwa kutupa majibu.
Ukiangalia kwa jicho la kawaida tu, watanzania wengi hawapendi kusafiri hasa kwenda nje ya nchi.
Ndio maana hata fursa nyingi za nje ya nchi zimebebwa na Afrika Magharibi na Kenya.
Why this🤔🤔
Kwa mtu yoyote anayeielewa mitaa ya makuburi na External aniambie mtaa mzuri ninaoweza kupata nyumba nzuri ya kupanga... average standard, sina familia.
Mitaa ambayo nitapata usafiri kirahisi.
Jamani naombeni ushauri jinsi ya kuvitibu haraka vidonda kwenye ngozi ya mapumbu. Vimetokana na wakati naoga nilijisugua kwa nguvu kwa dodoki nikachubuka sasa vina wiki 1. Natumia sabuni ya zoazoa.
Ahsante.
Habari zenu,
Kuna hili suala nataka tujadili. Kuna hii hali ya wateja wanaokuja kwako mara kwa mara kununua bidhaa lakini kila wakija lazima waulizie bei.
Je, hii ni sahihi?
Kwa ninavyojua ndege ikipita kwenye anga la nchi fulani lazima nchi hiyo ilipwe na muhusika. Je, kwa Tanzania hiyo imekaaje? na kwanini hawasemi ni mapato kiasi gani yanapatikana?
Karibuni.
Sote au baadhi ya jamii wakifiwa na mtu wao wa karibu huwa wanaambiwa au hunyoa kipara. Sisi tuliambiwa maana yake mzimu wake usije ukawa unakula na sisi. Hadi kuleta uzi huu maana hali ya kunyoa kipara msibani sijajua. Karibuni kwa michango.
Habari za wakati huu wadau, poleni na majukumu ya kufuatilia mkataba na maandamano. Kwa yeyote anayefahamu kama kuna usafiri wa kutoka Dar es Salaam to Dom siku za Jumamosi alasiri namaanisha kuanzia saa tisa na kuendelea anijuze plus jina la basi.
Hebu tuangalie kwa kina, ukoloni uliletwa na wazungu tu. Waarabu na wahindi walikuwa wafanyabishara tu.
Hoja, ninani mwenye afadhali kati ya mkoloni na mfanyabishara?
Japokuwa mkoloni alikuwa na mabaya yake kama kutesa, kushurutisha, kuaibisha na bogus treaty lakini kuna kitu cha maana aliacha...
Taja film za kutisha nzuri kwako plus tamthilia.
Zangu the walking dead hasa ilipokuwa inatafsiriwa na dj ommy.
Conjuring zote plus Anabelle, the nun, ghost house, the hunted house, the animal, etc
Mara nyingi wanaume tukiweka miahadi na mwanamke tunataka aje peke yake (privacy), sasa ilikuwaje ulipanga appointment na mwanamke, akawa anataka kuja na rafiki yake?
Ulimkubalia, nini kilitokea?
Wakati tupo wadogo tuliambiwa tusipige Mruzi usiku, tusikae kwa muda mrefu kwenye mwanga ambao kivuli kikiwa exposed wala kuimba usiku.
Kisa wachawi wachukua.
Je, kuna ukweli wowote?⁉️
Mara zote huwa tunashauriwa kutizamana machoni wakati wa usaili wa kazi. Kwangu mambo sio mazuri kama nafanyiwa usaili na mwanamke, huwa siwezi kumwangalia machoni kwa muda mrefu.
Je, kuna mtu anachangamoto kama yangu? Njia za kutatua hilo ni zipi⁉️🤗
Mambo yanayohusu mapenzi huwa yanaumiza sana pengine kuzidi kitu kingine.
Nifanyeje ili nisije umia hata nikivunjwa moyo na nitakayempenda?
Nifanyeje ili nisimpende mwanamke hata kama nitakuwa nae kwenye uhusiano?
Nifanyeje ili nisipende tena?🤔
Nifanyeje
Operation ya Urusi huko Ukraine ni matokeo ya mabaki ya vita vya dunia na sera ya upanuzi wa Irusi ili aweze kufikia pande zote za dunia bila kikwazo.
Kitendo cha Ujerumani kuadhibiwa vibaya kipindi kile ndio kilichopelekea rise of dictatorship in Germany hence WW, na sasa ninaiona hii kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.