Fighter,
Nashukuru kwa technical explanation, Msuya is a civil Engineer or chemical and process eng? maana viginevo asingekimbilia kuzungumzia crack bila kujua ratios za cement ya kwenye concrete na mortar ambayo naamini ndo sehemu yenye cracks, I have been at Udom one time cracks zilizo nyingi...
Fighter
Kwenye m3 au m2 umeenda mbali kuna wengine hata kusoma na kuandika ni issue unajua sasa hivi sekta ya ukandarasi imeingiliwa haimzuii yeyote kufanya hiyo biashara unajua tofauti na madvocate na ma-auditor kwamba ili upractic lazima uwe professional
Hiyo nimeipenda maana wazawa tuanataka kila kitu kupendelewa hata kama hatuna uwezo, ofisi za brifkesini mitaji hatuna. Ningedhani kwani tufanye overhaul ya system ya mikopo katika mabank yetu na wakandarasi wazawa tuwe committed kweli kweli kwani aliyeyaua mashirika ya umma si watz wenyewe? leo...
Feedback,
Mbunge was just to mention a few ...
Hayo ni mambo ya kufikirika tu kwamba nafikiri EL hapendwi na wengi. Mimi sina upande wowote wa ushabiki kati sijui ya EL na Dr lakini ukiniambia niwashindanishe kwa performance mkulu anaweza akapigwa chini ila tatizo ninaloliona kwa baadhi ya...
Kwanini Migiro? kwa ajili ya unaibu ukatibu mkuu wa UN? Hiyo haijalishi ingekuwa kwa sifa hizo hata Dr Salimu si angepeta mwaka jana? hawa jamaa wanamambo, hapo ni nguvu ya mtandao tu bila kujali huyo wanayempropose ni kilaza au la
+ve sijakupinga nilitaka tu kujaribu kuwa precise na neno "nampenda" maana wewe sio mbunge useme unawawakilisha wananchi waliokuchagua, binafc cmchukii EL japo hiyo haimaanisha nampenda.
Tuone kama kuna mtu atawajibishwa TBC kama ilivotokea baada ya uchaguzi maana hii habari chama kimesahau kuwa ni turufu kwao.
Japo tusiwalaumu ambao hawajajitokeza au kutilia umuhimu ktk hili nadhani ni culture amabyo wenyewe tunaijenga s ajabu kuona mtu hahudhurii msiba wa jirani sasa...
Tuone kama kuna mtu atawajibishwa TBC kama ilivotokea baada ya uchaguzi maana hii habari chama kimesahau kuwa ni turufu kwao.
Japo tusiwalaumu ambao hawajajitokeza au kutilia umuhimu ktk hili nadhani ni culture amabyo wenyewe tunaijenga s ajabu kuona mtu hahudhurii msiba wa jirani sasa...
Ana bikira Original au za Kichina? j
Japo naungana na wote wanashauri usubiri ndoa kama kweli unataka kuoa maana asilimia kubwa ya wanaofunuana kabla ya ndoa wakiwa katika ndoa wanaendelea kufunua nje
Bushloiaz
Nimekukubali, huyo anayemwachia mtoto mpaka amfungue zip hawezi kuwa mtu mzima lazima ni mtoto kama ni mtu mzima basi keshamtenda huyo mtoto.
Japo wenzangu jamii tunaibomoa wenyewe na tunaweza kuijenga wenyewe kama mtu mzima unafurahia kijana wako akivaa kata k au huoni shida binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.