Kama nia ni kupeleka watu kwa Mungu kwanini mgombea watu , hawa wote ni wezi wanagombea mifuko ya pesa kama wanashindwa kwenye jambo dogo kama hili hawawezi kupeleka watu mbinguni.
Nakushauri kama unataka kusoma computer bongo soma computer science achana na majina matamu matamu unajisumbua bure utakwenda kusoma kozi nzito utapata GPA ya kijinga , utachukua muda mlefu kusoma utalipa pesa nyingi mwisho wa siku kwenye ajira portal na ofisini unaweza kuta boss wako amesoma IT...
Kama Hauna cheti utakwama kwenye usajili wa chuo chuo watakuomba uje na vyeti vyako vyote original kwa ajili ya uhakiki ndipo usajiliwe, AVN ni awards verification number hiki ni kama cheti chenye GPA yake ambayo ni gpa ya mwaka wa mwisho wa diploma NTA Level 6 huwezi tumia AVN mbadala wa cheti...
Kwanza natoa pole Tanzania tuna kizazi hovyo sana pili hakuna video nyingine zaidi ya hiyo ya kwanza tumieni mida wenu kifanya kazi mmekazana kutatuta video kama ugali
Ukisikiliza ushauri wa jamii forum unaweza kupotea, watu wengi wanakimbilia kwenye swala la nguvu za kiume sababu ndio story za mtaani na kijiweni lakini katika mechanism ya kusimamisha uume inategemea blood presha usafirishaji na mzunguko wa damu mwilini kuwa sahihi ili uume kuweza kusimama...
Huyo mama ni mzee hana mahari pakwenda ni swala la muda tu, kumbuka wanaume wanaweza kukutamani ukiwa kwenye ndoa yako wanajua wanakutumia tu kwa muda wanaotaka alafu unarudi kwa mume wako, wanaume hao sio waoaji na hata wakitaka kuishi na mwanamke hawawezi kumchagua mwanamke anayechepuka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.