Kwa wale waishio moshi,au yeyote anaejua hili,bei ya pikipiki (bodaboda) mpya mjin moshi pamoja na gharama zingne zote kama tra etc inagharimu kias gan? Na je kipande kwa boss ni kias gan? Naomba mnijuze jaman,
Wana jf anaefahamu namna gan ntaweza kuunganisha internet ya tigo kwenye cm,mana nimejaribu kutuma ujumbe mfupi wa neno WAP na aina ya simu na model kwenda 500 lakin imekataa,msaada tafadhal
Jaman naomba kuuliza wanajf,hivi ukiwa unakunywa grand malta kila siku inaweza kupelekea kupata ugonjwa wa kisukari? Kwasababu naona ina sukari sana,msaada plz!
Nina digrii ya nutrition kutoka SUA,na skilss on data collection and data analysis,project monitoring and evaluation,proposal and report writing,natafuta kaz wandugu,naona kila nikiomba nakosa,sina msaada wandugu,mliokuwa kwenye system naomba tusaidiane wanajf,kuna moja imetangazwa humu jf na...
Nina digrii ya nutrition kutoka SUA,na skilss on data collection and data analysis,project monitoring and evaluation,proposal and report writing,natafuta kaz wandugu,naona kila nikiomba nakosa,sina msaada wandugu,mliokuwa kwenye system naomba tusaidiane wanajf,kuna moja imetangazwa humu jf na...
Nina digrii ya nutrition kutoka SUA,na skilss on data collection and data analysis,project monitoring and evaluation,proposal and report writing,natafuta kaz wandugu,naona kila nikiomba nakosa,sina msaada wandugu,mliokuwa kwenye system naomba tusaidiane wanajf,kuna moja imetangazwa humu jf na...
Wana jf,habarin za wikiend,mwenye taarifa kuhusu zile nafas za kaz za kufundisha (TA,LECTURER) wameshaita interview? Mwenye kujua naomba atupashe habar
Hod jf,mm c mgen sana wa kusoma threads za jf hasa mmu na job vacancy forums,nimeamua kujiunga il nami nipate fursa ya kuchangia mada za humu ndan,mnipokee wandugu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.