"Ninachosema ni hivi, kwa mbunge wa kweli ambaye anasimamia maslahi ya wananchi wake, hizo fedha si nyingi. Kwa sababu mbunge makini anahitaji kutoa misaada, kuona malengo ya wapiga kura wake yametimia na mambo mengi angependa kufanya,
Nilipokuwa mbunge niliandamwa sana na wananchi na nilikuwa...
WanaJF,
Hivi ni kweli endapo utakutwa unajadili mjadala wa katiba mpya adhabu ya kifungo itakukabili ama faini kuanzia milioni 5. hii ndio sheria iliyopo kwenye mswada wa sasa?
Naomba nipatiwe ufafanuzi wa hili, tafadhali.
Wana JF,Nimekuwa nikitafakari kwa muda mrefu sana kuhusu uongozi na siasa za nchi yetu,Sielewi ni nini kinaendelea hadi sasa:1. Majina ya viongozi wengi yametajwa waachie ngazi lakini bado wapo wanadunda Mf: Hosea (TAKUKURU), Ngereja,
Malima ( Wizara ya Nishati), Luhanjo, Jairo, Utouh, na...
WanaJF,
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al Jazeera, Iringa, imekuwaje? Ina maana yameruhusiwa kuendelea na usafirishaji?
Mwenye taarifa...
Wakimbizi kutoka visiwa vya Zanzibar wamekwama katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, wakidai serikali ya Tanzania imeshindwa kutoa kibali kwa shirika la wakimbizi duniani UNHCR ili kuwarejesha makwao.
Wakimbizi hao walikimbilia Somalia miaka kumi iliyopita baada ya machafuko ya baada ya...
Rais Kikwete na serikali yake walipandisha bei ya mafuta ya Taa kwa kisingizio cha kuzuia uchakachuaji. Mwenyekiti Kikwete wa CCM, wamesema bei ya mafuta ishushwe! Jamani mbona sielewi, utendaji wa CHAMA na SERIKALI, nisaidieni, Kuna Tatizo hapa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.