Habari Zenu. Nina swali kuhusu biashara. Mfano mtu upo nchi kama China au India n.k alafu unataka uanze kabiashara kadogo cha kuuza vitu kama viatu huku Tanzania kwamba unanunua viatu huko china alafu unasafirisha via express company kama dhl au via ema n.k Njia yako ya kupromote hivi viatu ni...
Niliagiza Playstation 4 kutoka Walmart USA lakini imekuja na shida ya hdmi port coz nimetest na tv nyingi za hd na cable tofaut nimegoogle solution zimegoma, nimeona sony wamesema kwenye article moja kuna baadhi ya units zimekuja na hdmi port mbovu lakin ni rahisi kutengeneza kwa vifaa husika...
The only way ni via Whatspad tweak from cydia after jailbreaking ndo app ya whatsapp itakubali kuinstall. WhatsApp is designed for smartphones and phablets like galaxy note ii and not tablets kama iPads
Jailbreaking is basically the process of freeing your device (thus the term jailbreak) from the limitations that are imposed by Apple.
Cydia ndo black market/alternative appstore ambayo ndo main reason unajailbreak ur idevice
Advantages of Jailbreaking
1.Third-party Jailbreak Apps and Tweaks...
MWENYE PC DVD YA FIFA 13 ANIFORWADIE CD KEY (ONLINE PASS) NIPATE UWEZO WA KUCHEZA ONLINE AU DOWNLOAD LINK YA FIFA 13 YENYE UWEZO WA KUINGIA ONLINE pleaseeeeee!!
Mimi narecommend Galaxy note II coz its bigger and a few features. But Kuna simu tatu zinatoka karibuni zenye display kubwa ya kutosha 1.Galaxy Note III ambayo itakuwa 6.3"inches 2.Sony Xperia Z 5"inches na 3.Huawei Acend D2 6"inches kwaio kazi kwako
Mwenye original pc cd ya fifa 13 anisaidie cd keys au kama umedownload fifa 13 yenye uwezo wa kuingia online naomba unisaidie link ulipo download please
I have an iPAd best alternative ya itunes ni iTools ambayo ni very simple to use but inabidi uinstall itunes for this to work ni 3mb tu ipate hapa for both mac or pc iTools One-stop manager of your iPhone, iPad & iPod Touch na kuhusu kutype documents kama ms word tumia application ya PAGES by...
Nataka nianze kusoma programming but sijui nianze na which language kama python java c obj-c c++ php cobal etc Please i need ur advice nataka nisome tu ili nipate more job opportunities mbele JST FINISGED O-LEVEL bado I FOUND COURSES KWENYE ITUNES U iPAD SIJUI KAMA NI NZURI ZA HARVARD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.