Search results

  1. wanzagitalewa

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul ana cheo gani Serikalini/Wizara ya Nishati hadi akutane na Rais Museveni?

    Kuna watu wangapi wamewahi kukutana na Museveni kwa ajili ya masuala ya kibiashara? Abdul si wa kwanza na hatokuwa wa mwisho, tuache chuki binafsi
  2. wanzagitalewa

    Ukweli kuhusu mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo

    Na Hamza Karama, Kariakoo DSM Kwa ufupi Wafanyabiashara wakubwa wakwepa kodi tangu enzi za Awamu ya Nne watajwa kuwa chanzo cha mgomo Maamuzi ya Rais Samia ya kutuma timu ya mawaziri Kariakoo yazima mgogoro Kamati ya watu 14 kutoka Serikalini, wafanyabiashara yapewa jukumu la kumaliza mzizi...
  3. wanzagitalewa

    Madudu ukaguzi maalum wa CAG upande wa REA 2015-2020

    UKAGUZI wa Ufanisi wa Mamlaka ya Nishati Vijijini (REA) uliofanywa na CAG umeimulika REA kuanzia mwaka 2015/2016 mpaka 2019/2020. Ukaguzi umefanyika kwa maombi ya wafadhili; Shirika la Kimataifa la Maendeleo Sweden (Sida). Kwamba Machi 2016, Tanzania na Sida waliingia mkataba wa ufadhili wa...
  4. wanzagitalewa

    Januari Makamba kukataliwa na Wajumbe 1,463 kati ya 1,915 inatoa taswira gani kisiasa?

    Ukiona umechukua yeye kati ya wote 14 ujue tayari umeelewa nguvu yake. Swala la muda tu. JK 2002 alikuwa wa 12 kwenye NEC. Kama hujui historia itakuja kukuadhibu.
  5. wanzagitalewa

    Sijui kwanini huwa simuamini January Makamba

    Huyu jamaa ni asset. Watajaribu sana kumchafua lakini kama amepangwa kuja kuwa Rais wa Tanzania atakuwa. Mfano hapo huyu jamaa kasema madili, muulize dili lipi? Kajenga uwanja kwao? Kajenga apartments mji mzima huu? Au kama kambale wao alivyomjengea kimada hoteli mwenge.
  6. wanzagitalewa

    Sijui kwanini huwa simuamini January Makamba

    Ulichoandika hapa ukitaka kujua ni kitu gani basi jitie dole nusa. Hiyo harufu nchi umeandika hapa. Pumba kiasi kwamba hakuna hata mtu anaweza kupoteza muda kukuelewesha ila kwa taarifa yako January ni moja ya wanasiasa tegemeo kubwa sana kuja kuweka mfumo mpya wa kuindoa nchi katika mkwamo...
  7. wanzagitalewa

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Sidhani. Ngoja tuone
  8. wanzagitalewa

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Haya mambo yanahiyaji dua pia
  9. wanzagitalewa

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Wazee miaka 22 walikaa pale nahisi walishajua hadi wanakufa bila kutoka mama kaja kapita na kichwa asubuhi mapema
  10. wanzagitalewa

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Nasubiri kuona mpambana. Kitumbua cha 22 years SSH kawaondoa.Ila jamaa kwa nini wasingeboresha tu? A good businessman knows how to make it work
  11. wanzagitalewa

    Karamagi wa TICTS' ahaha kwa wahariri, wabunge

    Kuna tetesi zinaenea kuwa kampuni ya kimataifa ya kuhudumia makontena (TICTS) imeanza operesheni maalumu ya kuichafua serikali ya Tanzania ndani ya nje ya Tanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Hatua hii ya TICTS inatokana na serikali kuamua kuvunja mkataba wa TICTS na Serikali kuhudumia...
  12. wanzagitalewa

    Rais Samia anaifanya elimu kuwa bora na nafuu

    Lengo namba nne la Malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ni kuhakikisha watu wote wanapata elimu bora, yenye usawa na kutoa fursa kwa wote kujiendeleza na kufikia vipawa vyao kikamilifu. Ili kufikia lengo hilo, mamlaka zinatakiwa kutoa fursa sana kwa wavulana na wasichana, kuongeza idadi...
  13. wanzagitalewa

    Kampuni 19 za Kimarekani kuangalia fursa za uwekezaji Tanzania

    DAR ES SALAAM, TANZANIA, 13 Septemba, 2022 – Leo Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam na Idara ya Huduma za Biashara ya Marekani umetangaza washiriki wa ziara ya siku mbili ya ujumbe wa Wafanyabiashara wa Kimarekani kutembelea Tanzania Bara na Zanzibar. Ziara hiyo itafanyika kutoka tarehe 27...
  14. wanzagitalewa

    TWAWEZA: Asilimia 64 ya Watanzania waridhishwa na matumizi ya tozo

    Shirika lisilo la Kiserikali la TWAWEZA East Africa limezindua ripoti ya matokeo ya utafiti mpya wa Sauti za Wananchi ulioangazia maoni na uzoefu wa Watanzania kuhusu hali ya taifa kati ya Oktoba 2021 na Julai 2022 ikiwa umejumuisha maoni na uzoefu wa wananchi kuhusu tozo za miamala ya fedha kwa...
  15. wanzagitalewa

    Tetesi: Kampuni ya Yapi Merkezi kuchunguzwa kwa rushwa na kuingilia mambo ya ndani Tanzania

    Vyombo vya ulinzi na usalama nchini Tanzania vyadaiwa vimeanza uchunguzi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Kampuni ya Ujenzi ya Yapı Merkezi Bwana Erdem Arioglu.Vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa Arioglu anatuhumiwa kuwa sababu kubwa ya kuchelewa kukamilika kwa mradi wa SGR huku akiwatendea visivyo...
  16. wanzagitalewa

    Wadau wa Bandari waomba TICTS isiongezewe mkabata

    Na Marato Sinda, Dar es Salaam Kampuni ya Kimataifa ya huduma ya Kontena Tanzania (TICTS) inadaiwa kushindwa kutekeleza makujukumu yake na wadau wa sekta za biashara na usafirishaji ambao wameitaka serikali kutoipa mkabata mpya kampuni hiyo kwa kushindwa kufikia lengo la kuongeza wingi wa mzigo...
  17. wanzagitalewa

    Watanzania watakavyonufaika na mkopo wa TZS trilioni 2.4 kutoka IMF

    Kabla sijaanza kueleza ni kwa namna gani Watanzania watanufaika na mkopo wa shilingi trilioni 2.4 kutoka Shirika la Fedha Duniani, kwanza ifahamike kwamba hakuna nchi duniani ambayo haikopi, nchi zinatofautiana kiwango na sababu za kukopa. Baada ya hilo, nielekeza kwamba mkopo ambao Tanzania...
  18. wanzagitalewa

    Idadi ya wawekezaji nchini Tanzania yazidi kupaa

    Ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye mataifa mbalimbali duniani zimezaa matunda kwa kufanya idadi ya wawekezaji nchini kuongozeka. Rais Samia amekua akiwahakikishia wawekezaji kutoka nje kuja nchini kwani kuna mazingira mazuri ya uwekezaji na pia...
  19. wanzagitalewa

    Mpaka sasa Royal Tour haijaleta manufaa yoyote nchini

    Wakati mwingine jitahidi kutumia akili, si vibaya. Yani unaamini kwa sababu labda tulikuwa tunapata watalii 10 kupitia njia 'A' basi hatutakiwi kufanya mipango ya kupata wengine watano kupitia njia 'B'? Ili kuwafanya jumla wawe 10? Ninyi ndio mnaongoza kuisifu Rwanda inavyojitangaza kwenye jezi...
  20. wanzagitalewa

    TANZIA Mbunge na Mkurugenzi wa Fedha wa zamani, Khadija Makontena afariki dunia

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Samia Suluhu Hassan amemtumia salaam za pole Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF ) Profesa Ibrahim Lipumba, familia, ndugu na jamaa kufuatia kifo cha Mbunge wa zamani wa Chama Cha Wananchi (CUF) na Mkurugenzi...
Back
Top Bottom