Search results

  1. M

    Nataka kujua ubora wa mbolea ya super grow

    Mkuu hii kitu (supergro) sio mbolea. Haijatengenezwa kwa ajili hiyo na wala haina maelezo rasmi ya kutumika kama mbolea. Sijui ilianzaje hii mpaka wauzaji wao (sio kampuni) wakaanza kuitangaza kama mbolea, lkn hakuna popote Supergro imeshauriwa kutumika kama mbolea au kirutubisho kwa mazao...
  2. M

    Nataka kujua ubora wa mbolea ya super grow

    Mkuu mbolea zipo nyingi sana, zipo hizi za kawaida kama urea n.k, zipo booster (mbolea za majani) za chenga, au za maji. Na zimekuwepo hata kabla ya ujio wa supergro, kwa hiyo supergro haikuja kuchukua nafasi ya mbolea. Ni vyema kuwashirikisha wataalam wa kilimo juu ya mbolea nzuri za kutumia...
  3. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    SOURCE: Kilimo cha Kisasa cha Mahindi | Mogriculture Tz Mbegu Bora za mahindi Matumizi ya mbegu bora ni muhimu katika upatikanaji wa mavuno mengi na bora. Kuna makundi mawili makuu ya mbegu ambayo ni: Mbegu za asili: Ni zile ambazo zimetumika miaka mingi katika historia ya kilimo Mbegu...
  4. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Haya hapa majibu yako kaka... SOURCE: Kilimo cha Kisasa cha Mahindi | Mogriculture Tz Mbegu Bora za mahindi Matumizi ya mbegu bora ni muhimu katika upatikanaji wa mavuno mengi na bora. Kuna makundi mawili makuu ya mbegu ambayo ni: Mbegu za asili: Ni zile ambazo zimetumika miaka mingi katika...
  5. M

    Jifunze kilimo cha nyanya

    JIFUNZE KILIMO BORA CHA NYANYA Utangulizi Nyanya ni zao la mboga linalolimwa sehemu nyingi duniani kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na pia kama zao la biashara. Nyanya ni aina ya mboga inayo zalishwa kwa wingi sana duniani. Kwa Tanzania, nyanya ni zao la kwanza katika mazao ya mboga...
  6. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Habari mkuu... MAHITAJI YA MBOLEA KATIKA KILIMO CHA MAHINDI SOURCE: Kilimo cha Kisasa cha Mahindi | Mogriculture Tz RELATED ARTICLE: Mahitaji ya Udongo na Mbolea katika kilimo cha Mahindi | Mogriculture Tz Mbolea za kukuzia mahindi Ni mbolea zinazotumika baada ya mimea kuota kwa lengo la...
  7. M

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Wakati tunasubiri wataalamu wa masoko, tusome hapa KILIMO CHA MIHOGO Utangulizi Zao la muhogo ni muhimu sana kwa Tanzania, zaidi kwa wakulima wadogo wenye kipato cha chini. Wakulima wengi huchanganya zao la muhogo na mazao mengine kama vile kunde, mbaazi, njugumawe, n.k. Umuhimu wa zao hili ni...
  8. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Hizi hapa Mbegu Bora za Mahindi.... Katika makala hii utajifunza mbegu bora mpya mabalimbali za mahindi zilizofanyiwa tafiti na vituo vya utafiti wa mazao ya kilimo hapa Tanzania. Kwa kila mbegu utafahamu kituo cha utafiti kilichozalisha hiyo mbegu, mahali kilipo na sifa za mbegu husika...
  9. M

    Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

    Kwa anayehitaji kupata ELIMU YA UZALISHAJI WA NANASI (general Knowlegde) mzigo huu hapa kwa kiswahili: Utangulizi Nanasi ni tunda la kitropiki, linapendwa na walaji wengi kwa sababu ya ladha yake tamu na harufu yake nzuri. Tunda hili laweza liwa mara tu baada ya kuvunwa, baada ya kulipika, au...
  10. M

    naomba ushauri wa kilimo cha mahindi bagamoyo

    KILIMO CHA KISASA CHA MAHINDI KUANDAA SHAMBA, KUPANDA NA KUPALILIA Kuandaa Shamba, Kusafisha, Kulima/Kutifua Ni vyema mashamba yaandaliwe mapema kabla ya msimu wa kupanda haujaanza ili kumpa mkulima fursa ya kupanda kwa wakati unaotakiwa. Kuna njia mbalimbali zinazotumika kuandaa mashamba. Kati...
  11. M

    Mambo ya Kufahamu Kuhusu Kilimo cha Karanga

    JINSI YA KUFANYA KILIMO BORA CHA KARANGA Utangulizi Karanga ni mojawapo ya mazao yanayotoa mafuta. Katika Tanzania zao hili hustawi zaid katika mikoa ya Kusini Mashariki, Dodoma na Morogoro. Pamoja na kutoa mafuta vile vile zao hutumika kwa njia nyingine mbali mbali, nazo ni pamoja na: Chakula...
  12. M

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    JINSI YA KUFANYA KILIMO CHA MAHINDI KUANDAA SHAMBA, KUPANDA NA KUPALILIA Kuandaa Shamba, Kusafisha, Kulima/Kutifua Ni vyema mashamba yaandaliwe mapema kabla ya msimu wa kupanda haujaanza ili kumpa mkulima fursa ya kupanda kwa wakati unaotakiwa. Kuna njia mbalimbali zinazotumika kuandaa...
  13. M

    Ni mbolea gani inafaa katika kilimo cha mpunga?

    MAHITAJI YA MBOLEA KATIKA KILIMO CHA MPUNGA Mbolea za kupandia mpunga Kabla ya kuweka mbolea hakakisha kuwa majaruba yanatengenezwa ili kuhakikisha maji hayaingii na kutoka kiholela. Mbolea ya kupandia huwekwa kwa kusia katika jaruba kabla ya kuchavanga. Kuchavanga husaidia kuchanganya udongo...
Back
Top Bottom