Kama kujenga msikiti chuoni imeshindikana na imeleta tafsiri mbaya Kama Ni udini achaneni na Jambo Hilo swaliyeni kokote pengine ili kutoleta utengano na watu wa dini nyingine yangu ni hayo
Muomba Mungu hachoki na akichoka kashapata zidisha maombi Mungu kwa rehema zake atambadili awe mpole mwenye huruma kwa wananchi na HEKIMA Kama nabii Suleiman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.