Simba kila baada ya siku mbili ya tatu mechi 1,3, 6, 9 13 16, 19 Sasa hiyo ndo ratiba ya mechi za Simba yangu February brother acha ipendeleo na visababu SABABU kila mtu ashinde mechi zake
Halafu wanasimba Kama hamjui Hawa Yanga ndo wanaleta mpasuko huko kwa mashabiki kwa kuwaliisha matango pori.
Kocha amekuja analipwa Mshahara mkubwa na ni kweli mzuri saana kutokana na profile Ila wanayanga na wachambuzi wameanza mo mbabaishaji Mara wachezaji Mara goli tano.
Sasa kwanini Simba...
Sawa Sasa wewe mchungaji unaona sawa kwa MwanaMke kuacha watoto wachanga kwenda kushinda kabisa??? Kwanini hukuwa shauri wake na mabinti zao nje muda fulania anatoka kunyonyesha anarudi Tena na Ibada...
Haya Sasa kaondoka Tena na huku nyumbani hajatengeneza hapo Kuna Ibada kweli???????
Tupeni updates za huko Dodoma je Kuna kutoboa hongerni saana Kwa kujitoa mhanga
Chamsingi ukipata furahi ukikosa furahi, maisha Bado yapo Kasi yanaendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.