Wapo mm nilishuhudia mmoja huyo alikuwa pisi kali nikawa nampelekea matunda kila siku alinipenda balaa kwa maana hakuwa anakaa na mume nusu nitunukiwe lkn sikutaka.
MADA:UKOSEFU WA AJIRA.
Habari mtoa uzi.Kama mada inavyoonekana hapo juu unaonaje serikali ikaangalia namna iliyo bora ikapunguza wafanyakazi hasa kada ile yenye wafanyakazi wengi kuliko zote(walimu) ili iajiri kundi kubwa la vijana jobless ili nao wale keki ya Taifa?
Watakaoajiriwa wataanza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.