yani ndugu yangu utaratibu unajulikana huo why now kipind cha JPM mbn kipindi cha JK kulikuwa hakuna utaratibu..ni hivi labda kama mwenzetu umefanikiwa kupanda ila siyo issue ya elimu inawahusu wahasibu na vyuo hasahasa ila wengine wote ni degree au diploma..ila issue ya mkopo hauiongelei wala...
Wafanyakazi ambao hatupandishwa madaraja yetu kwa haki..wala hatujaongezewa mishahara tangu kipindi cha JK au watumishi gani unaongelea tuliopandishiwa na bodi ya mikopo kutoka 8 mpk 15 asilimia na retantion fee ya aslimia 6.....
labda kama ww ni mtumishi wa kuteuliwa
shida moja kubwa sana kwa wafuasi wa vyama kuna kusema eti waliojiandikisha ni wana CCM
hii ni dhana mfu kabisa kura ni siri ya mtu ni kama wajumbe halafu hiki ni kizazi kipya siyo kizazi cha kidumu fikra za Mwenyekiti ndiyo maana tangu kikwete ashinde kwa asilimia 80..CCM iliendelea kushuka...
sasa mtoa mada anasema sheria ya asilimia 4 imetungwa na serikali ya Magufuli..labda kama anataka kupotosha hii ni sheria ya muda mrefu ipo tangu kipindi cha Kikwete..pia hiyo mikopo siyo kuwa wanapata yote ni mpaka ikiwa lengo la makunyanyo ya ndani limetimia ndo wanaweza kupata.na mara nyingi...
Kama kichwa tajwa hapo juu.mimi ni mtumishi wa serikali idara ya mipango nipo geita mjin natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi awe Dodoma, Morogoro, Dar es salaam au Pwani.kama upo tayari ni pm.
Kama kichwa tajwa hapo juu.mimi ni mtumishi wa serikali idara ya mipango nipo geita mjin natafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi awe Dodoma, Morogoro, Dar es salaam au Pwani.kama upo tayari ni pm.
mwaka huu mkoa kwa mkoa,wilaya kwa wilay, jimbo kwa jimbo,kata kwa kata,tarafa kwa tarafa,kijiji kwa kijiji,nyumba kwa nyumba, kituo kwa kituo,tume kwa tume.....Mpaka #MABADILIKO YATIMIE....bampa kwa bampa.....MPAKA MAGAMBA YAOMBE POOO....mtu kabakiza siku 9 ofisini alafu analeta...
Daaa asanten Mara... Mpo imara na hamtetereki... Na mm ngoja nikaangalie mchinjio wangu nikaufute vumbi na kuunoa ntaenda kuchinja mida ya saa kumi kasoro ili mchezo mchafu wowote usitokee na kusogea mita mia mbil..... Na kuupload matokeo ya kituon kwangu... Ntachinja bila ganzi... Ewe mwenyezi...
Mhhhh yaniii ni shidaaaa... Kupoteza Muda tuuuu uku.. Uchaguzi wa urais umeshaisha NEC wajikite kwenye ubunge na udiwan...... White hair white house.... Viva Lowassa...... Kwel nimeamini watu ufuata majira na siyo majira ufuata watu... Edo hachafukiki na wala hazuirik.... When God says yes no...
daaaaa kupendwa raha sana yani mzee hatumii nguvu hamna wasanii malorii wala waigizaji.......na mzee akianza kutumia gari basi kampeni hazitaisha.....mimi nasubiri kuanzia tarehe 1 october nijionee maana kama Ocampofour
Heading yako mbovu sana kama haujui kiingereza tumia kiswahil.. Not... although Tanzania need changes not for Lowassa.. U should have said although Tanzania need changes not from Lowassa... Vipaumbele vyake ni elimu elimu elimu elimu elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.