Miaka ile damu ikinichemka, nikiruka fance ya nyumbani na kwenda zangu kuruka majoka Kama tulivyokua tukiita enzi hizo, Disco likiwa linatawaliwa na nyimbo za kina BlackBox, Casanova, Patishange, Bob Marley, Kwenye charanga Kuna watu hatari toka Afrika Magharibi huku kibao Kama Aisha kikileta...
Salaam wana jamvi
Jana tarehe 23/03/2020 katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku. Kituo chetu pendwa cha TBC kilirusha taarifa nyingi kama ilivyo kawaida na ikafikia kwenye habari ya Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika matembezi ya jioni ndani ya Ikulu, jijini Dodoma.
Isivyo...
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatt.
Shaloom wanajamvi
Heri ya mwezi Mtukufu wa Rajab kwa waislam na Heri ya kuanza kwa masiku 40 ya kwaresma ya tafakari juu ya upendo wa Yesu Kristo.
Moja katika mambo ambayo yamenajisi siku ya jana na leo mitandaoni ni kauli ya DC wa Arumeru Jeri Muro...
Wasalaam wanajamvi
Nimeguswa na tukio la Kanisa la Mtume na Nabii Mwamposa kuhusishwa na vifo vya waumini 20 katika viwanja vya Ushirika Moshi. Nimeguswa kwakua Mimi ni muumini wa waamini (wale wenye imani ya uwepo wa nguvu kubwa inayohitajika kuyaongoza maisha yao).
Aidha nimezisikia kauli...
Wananzengo habari zenu.
Takribani saa 24 zilizopita nimekuwa nikijaribu kusoma na kutafakuri kwa kina yaliyotokana na mambo mawili, kwanza CHADEMA kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru la kwanza na lapili hotuba ambayo Mh. Mbowe aliyoiunda na kuhakikisha arafa yake...
Salam wanagenzi
Siasa ni mchezo wa HOVYO unao chezwa na watu smart upstairs, SIASA inakupatia mambo matatu, marafiki, WANAFIKI na maadui unaowajua.
CHADEMA, wana maadui wengi sana na kutokana na kutokuwa na watu upstairs (NYUMBU) wanawapa nafasi kubwa maadui zao kuanzisha mashambulizi ya Mara...
Wasalaam watu wa Mungu
Miezi 6 tu baada ya uteuzi wa wakuu wa mikoa isiyokua bahati ilimshukia Mama Anne Kilango Malecela. Watu wengi walijua huyu buana anatafuta publicity.
Walichosahau tu ni Kwamba huyu ni mke wa Waziri mkuu wa Tanzania 1990-1994 aidha Makamu mwenyekiti CCM 1995-2007 na...
Salam Wanajamvi
Nafikiri kwa sauti?
Hivi hawa watumishi wa idara ya Tiketi katika mabasi ya mwendo kasi wanawadai UDART kiasi gani hata ifikie kipindi kuwaacha watu wapande bure kwa muda wa siku mbili sasa?
Hivi hizi akili za waliopewa madaraka kwenye UDART zinaenda kinyume nyume au kimbele...
Habari wana jamvi
Kwa wale waislam hongereni kwa kuendelea na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kwa wale ambao ni waislam na hamkufanikiwa kufunga kwa sababu za maradhi Mwenyezi Mungu awanurusuni na maradhi hayo ili inshaalah muungane na wenzenu kabla ya ramadhani kwisha au Ramadhani ijayo...
Habari zenu wana Mbacha?
Imekua nikawaida kwenda dukani kununua sukari ukaambiwa kilo Sh 3000/- na ukanunua, Mkate Sh 1200 au 1000 inategemeana na brand na ukanunua bila ubishi, ukaenda kununua chai na chapati husemi ooh nipunguzie sijui ninini?
LAKINI ukaingia kwenye duka la nguo ukaambiwa...
Wanabodi
Wanasheria wanakawaida ya kuyatenga au kuyagawa makosa katika makundi mfano, Makosa ya Jinai, Makosa ya Madai na au Makosa ya Kikatiba. Mimi ninao theory yangu inayo jitegemea ambayo ni Makosa dhidi ya Mtu na mtu, yaani A kampiga kofi B na pia A kamsukuma B akasababisha madhara kwa C...
Habari wanajamvi wenzangu
Ni siku nyingine tena Alhamdulilah ninaendelea kupumua pumzi ya BURE ambayo bila shaka ni wajibu wangu kuitendea haki ili kesho akhera, nipate cha kujitetea mbele ya Muumba wa Mbingu saba.
Asubuhi ya leo nikiwa katika safari yangu kuelekea kule ninapopatia mkate wangu...
Wanabodi
Natumaini afya zenu ni bukheri hali kadhalika pande hizi, aidha kama kwa namna moja au nyingine afya za mmoja wenu zinayo taabu basi, jua kwamba ni mitihani tu na majaribu ya Muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo.
Kutokana na Rais wetu kuonyesha nia ya kubadili mfumo wa mazoea...
Wakuu habari?
Nimepata taarifa leo asubuhi kwamba kuna takribani mawaziri watano ambao wametajwa imma kuguswa na taarifa ya CAG na leo watafanya mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma. Kwa taarifa zaidi ni kwamba Waziri wa Habari utamaduni na Michezo Mh. Dr . Harison mwakyembe ataongoza...
Chei chei wanajamvi,
Ninayo matumaini juu ya ubora wa hali zenu, na pindipo zitakapokua na mgogoro wa namna ya aina yoyote, usijali "watu wa elimu za kiroho hutuambia ndicho kipindi ambacho unakua karibu na Bwana Mungu wako" msiniulize kiaje?
Hivi TRA mnawezaje kudhibiti Taxi bubu dhidi ya...
CHEI CHEI WAUNGWANDA
Kipande kati ya Msamvu na nanenane mkoani Morogoro ni kipande ambacho mara kadhaa wananchi wa maeneo hayo hufunga mifugo pembezoni mwa barabara (hasa Mbuzi). Nikiwa nimekaa siti ya dirishani huku nikitafakari safari iliyopo mbele yangu ya takribani saa 5, ndipo mboni za...
Habari za leo waungwana?
Sala na salam zangu ziwashukie kina mama wote duniani, wenye kujua hasa maana ya nomino yenyewe MAMA na wenye kuitendea haki nomino hiyo kama ambavyo chapisho hili limekusudia kufanya. Mama; je ni cheo, jina, heshima au vyote. kwa muhtasari tu ningependa kuanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.