Yes,
Wala Usibishe Nilikuwa Natka Kesho Niende Zanzibar Na Sehemu Nitakayofikia Ni Mbali Kidogo Maeneo Ya Kiwengwa Beach ila Sasa Akili Ikanijia Niangalie Gharama za Usafiri Zpoje Maana Wengine Wageni Kule Na Swala La Kujiandaa Muhimu Ila Daaaah Kucheki Ubee ili nijue Gharama za Usafili...
Wakuu Nimepita Barabara Ya Ally Hassan Mwinyi Hapa Dar Es Salaa Na Kuona Kuna Ujenzi Unaendelea Ila Hakuna "Bango" La kuonesha Mradi Gani Unaoendelea
Karibuni Wenye Kufahamu
Tanzania yaingia nchi 51 zenye amani zaidi duniani ikiwazidi USA, China, UK Argentina n.k.
Kwa Afrika tupo katika 10 bora huku tukiongoza eneo la EAC
Shukrani kwa uongozi unaoenzi amani wa Rais Magufuli na wote tuliotimiza wajibu wetu
Source: Global Peace Index
Sent using Jamii Forums...
Red gold Ni Jina la Kibiashara la Hawa Wahindi wa Arusha ambao hutengeneza Tomatoe Sauce
Nimeona Bidhaa Yao Ikiwa Sokoni Lakini Haina Tarehe Ya Kumlinda Mteja iwapo Mwisho wa Kuitumia Bidhaa Yao Ni Lini {Namaanisha Expiration date}
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Kwenye Mtandao Wa Lemutuz Kuwa Ujenzi Umeanza ila Kwa Mujibu wa Picha zile sijaona Hasa main Contractor Ni Nani?
Mwenye kumjua Aniambia aisee
Source: Lemutuz
Kocha Ndyo kikwazo!! Amepanga Kikosi Mavi Tena Mavi!!
Sitaki Hata Kumsikia Yule Kocha Na Kuanzia Leo Sifuatilii Mechi Za Stars Mpaka Akibadilishwa!!
Haiingi Akilini Bado Dk 10 mpira Uishe Ndyo Unamuingiza Boko!! Una akili timamu kweli kocha?
Kama Hyo Haitoshi, Tangu Lini Erasto Nyoni...
Wakuu Hasa Wale Wataalamu Wa Chemical na Hata Physics Kwa Ujumla Nataka Kupata Ufafanuzi Hapa Kidogo!!
Chupa zetu Za Kuhifadhi Joto La Vinywaji Au Vimiminika Kama Chai, Kahawa au Maji Moto Ndani Imegundulika Kuna Vidonge!! Naam Ni VIDONGE!!
Kuna Video Hii Inasambaa Mtandaoni Kuhusu Hili...
Leo March 16, 2018 Jarida maarufu la Business Chief limeitaja Tanzania kama taifa la pili lenye uchumi unaokuwa kwa kasi zaidi barani Africa. Tanzania uchumi wake unakua kwa asilimia 7 imeshika nafasi ya pili nyuma ya Ivory Cost ambayo uchumi wake unakuwa kwa asilimia 8.5.
Orodha hiyo...
Tangu Biashara ya Ubashiri na Bahati nasibu kwa njia ya mtandao ianze, sasa hivi imekua kero Hapa nchini hasa kwa watu ambao, hawapo "Interested " na Huduma Hizo!!
Labda utakuwa bado hujaelewa namaanisha nn?? Au nataka kuujuza nini umma na Kupitia Kichwa cha Habari TCRA Inahusikaje ...
Wanajamvi,
Mwaka 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda alitoa tamko la kusisitiza wafanyabiashara wote wa magari hapa Jijini Dar Kuhamishia shughuli zao rasmi eneo la Kigamboni, Manispaa ya Kigamboni.
Kitu ambacho ningependa kufahamu ni kwamba, zoezi hili litawahusu wote ama zile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.