Wakuu,
Mimi ni mdau wa lugha ya Kiingereza. Paragraph hii ya chini nimeandika mwenyewe kwa misamiati ambayo sio ya kubuni, ipo kwenye Dictionary kabisa na wala sio misamiati ya kifamasia, ni English kama ilivyo. Wengi hudhani wanajua English wakati kila siku anawasiliana kwa kurudia maneno yale...
Wakuu mmeamkaje,
Jana katika pitapita zangu, nikakutana na maoni ya GENTAMYCINE kwamba: Ukiona anamwambia mwanamke "Nakupenda" ujue ni kwa ajili ya kumpanga tuuu...lengo ni ku"hit & run".
Nikawaza hivi wanaume huwa tunaongea lugha moja?? maana hata mimi na wengine na wengine na wengine agenda...
Wakuu,
Nimepotelewa na Simu juzi. Kwa mujibu wa watu kadhaa, inasemekana kwasasa Simu inaweza kupatikana hata kama watatoa Line. kuiflash, etc. Naomba mwongozo na mtiririko mzima wa jinsi ya kuipata: Mfano kama ninaanzia Polisi, nachukua RB au Loss Report? Au nawasilishaje ombi la Simu yangu...
Jana nimepoteza simu. Likini mlolongo wa kurudishiwa laini lazima uanzie kwa Wakala mkuu, ukijaza fomu anakuagiza uende Kituo cha polisi, ukifika wanakwambia uende Central police, kisha unarudi wakugongee muhuri, kisha urudi tena kwa Wakala ili urudishe namba yako!!!
TABU YOTE HII YA NINI...
Wakuu hamjambo?
Nilitegemea kurudi #DarCityBaby ila kila nikikumbuka hilo joto, na mikelele, na mji ulivyojaa matapeli, kwakweli nakosa hamu. Ila sababu kubwa ni Bata kuninogea hapa Arusha city, kwakweli huu mji ni Paradise ndogo.
Hujakaa sawa toto la kichaga hili hapa, ukiangalia kulia kuna...
WARNING: This thread is highly Critical:
1. Eva aliongea na Shetani ana kwa ana, akatuletea tu Tunda...tukaonekana tumemsaliti Mungu wetu, Je, ni nani Msaliti halisi?
2. Ni wapi nitapata maongezi ya Eva na Shetani ambayo hayajaandikwa kwenye Biblia? Ikumbukwe maongezi yao tulioyonayo sasahivi...
Nisipoteze muda kuandika sana au kuunda logic, swallow it or spit it.
Mitandao ya ajira hapa Tanzania, hasa Zoom Tanzania na Brighter Monday inalaghai watu/watafuta ajira kwa post za ajira mpya kila siku. Kumbe wanavitengo/watu maalumu wa kugenerate au kutengeneza post feki za nafasi za kazi...
Wakuu mmeamkaje?
Nimefika Arusha salama, japo kuna baridi kiasi, ila hali ya hewa ni nzuri kwakweli. Mji umetulia, hamna fujo kama za Dar (mahoni kila sehemu, jam, mara ujenzi wa SGR, etc). Kwakweli nilikuwa nina muda sijatembelea hili jiji la mabilionea, ila ni tamu sana hili jiji na watu wana...
Wakuu,
Kuna kishughuli naenda kufanya kesho Arusha, nitakaa huko wiki 2 kwenye Hoteli ya mteja (kula bure, kulala bure, swimming pool bure, na mshahara wa wiki 2 juuuu). Taarifa rasmi anazo shemeji yenu msmimi30 ....atajumuika na mimi wiki ya mwisho then turudi wote.
Kama upo Arusha (men only)...
Wakuu,
Mwenzenu magonjwa madogo madogo k.v. Kichwa kuuma, Kifua kubana, Msongo wa mawazao, na hata Maumivu ya Tumbo...huwa natuliza kwa Shots kadhaa za Konyagi, Malaria ndo ishaji-ban kabisa maana ishasalimu amri kwa Bapa ndogo ya Konyagi, huu mwaka wa pili sijui hata ilienda wapi wakati Mbu...
Mie nashangaa hata hizi mbwembwe za Serikali kuhamia Dodoma, binafsi naona ni kiini macho, yaani tuzubae na kinachoendelea Dodoma wabaki #DarCityBaby wakipiga.
Kwahiyo wewe kijana mwenzangu, mtu akikwambia rudi mkoani/kijijini labda kwasababu kweli hali yako ni ngumu kwasasa, nakusihi usirudi...
Utakuta mwanaume anasotea demu, hadi aje ampate ni mwezi. Au wengine wanakosa papuchi kabisa hata miezi 3-6, labda akanunue. Lakini mwanamke utakuta ana wanaume wengi hadi 10; mme, michepuko, aliosoma nao, kazini, etc na wote ana wapanga, na wote anawahudumia kwa zamu. Tuongee ukweli.
Tafsri...
Wadau,
Kwa ufupi: Kuna kampuni inaitwa Cambridge Analytica ambayo mkurugenzi wake Brittany Kaiser katimuliwa kazi miezi michache nyuma.
Ndio kampuni yenye teknolojia ya juu ya kukusanya Data na kumanipulate vifaa vya kieletroniiki kama vile Masanduku ya kura, Simu, satelites, Mitandao ya...
Kila nikitune redio nakutana na " wezeshaaaa...muwezesheeee...tuma pediiii, au helaaa kwenda namba 555 na uchafu". Shaabash
Eeeeniweei ila Clouds Media mmezidi. Imagine mtu mzima kama mimi unaniambia nitoke kwa mtogole nipeleke pedi Mlimani City:)
Eeeniwei, ila mbona kila mbona mnaemshikia...
Habari zenu,
Majuzi nilieleza kwanini napenda Mwanamke mtu mzima, na kwakweli niliwekwa kikaangoni na kumjibu kila mmoja kwa umakini, hadi thread ikafika page ya 9 bila tusi lolote, bali yalikuwa ni malumbano ya hoja, nikitetea uamuzi wangu na kuzifutilia mbali tafsri potofu za kijamii dhidi ya...
Binafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje.
Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured...
Ungekuwa babu yangu ungefanya. Hakuna babu yangu...mimi...hakufanya nilichotaka. Do you know the secret?.... I FOLLOWED PROTOCOL. I mean najua alijua lazima nimzingue kila tukionana (honestly it' was fun).
Magufuli. if you are in JF plz respond to me. I have something I want to complain.
I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.