Habari zenu wanajamvi,
Nafikiria kufungua saloon ya kunyoa local(uswahilini) naombeni ushauri ni mtaji kiasi gani natakiwa kuwa nao na hasabu huwa inarange kiasi gani sokoni maana ntatafuta kinyozi. Natanguliza shukrani
Ndugu Mshana barikiwa mno, nimeuelewa sana huu uzi. Nikirudi kwenye Bible naona ulichokisema kikitokea, nikimkumbuka myahudi namwona mwarabu akifuata nyayo hizo hizo maana wote waliahidiwa baraka. NB, myahudi ndiye anayeongoza kwa technolojia saivi na ndiyo mtu mwenye akili kuliko binadamu yeyote.
Habari zenu wanna jf.
Nina diploma ya accounting nimepata kazi ila sina cheti cha form four. Mwenye mdada ninapoweza kukipata anijulishe plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa walio na uzoefu wa kufanya manunuzi online kama Alibaba, Ebey na Amazon.
Hasa Alibaba maana kuna kitu nataka kuagiza ila sijajua mchakato wake unakuwaje.
Thanks in advance
Kwahiyo we ulitaka yaishie huko huko tuu kwa amani, yaani ile issue waipotezee tu kishkaji? Aisee mkuu hauko serious hata kidogo, walau umejiuliza mwanafunzi you hali gani? Vipi kama angekuwa mwanao? Kama watu wengine wamejiskia vibaya kwa tukio lile ispokuwa wewe, unafikiri mzazi wa mwanafunzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.