Nilizaliwa mwishoni mwa miaka ya themanini katika kijiji cha chabutwa wilaya ya Sikonge mkoa wa Tabora, nilifanikiwa kupata elimu yangu ya msingi hapo kijijini, shuleni nilikuwa vizuri sana, si walimu tu bali hata wanafunzi walinipenda. Familia yetu ilikuwa ya maisha ya kawaida sana kwani baba...
Wakati hapa chanika kitongoji cha kidugalo tukililia umeme sababu nguzo hazijafika, nyie mmekuja kumwaga minguzo hapa karibu na Masai wawili tena kwenye maji zinaozea tu hapa miaka inaenda.
Kama vipi njooni mzichukue mpelekee wengine wenye shida maana sisi mmetususa, zikiozea hapa itakuwa ni...
Fridge Brand : LG
Bado jipya kabisa
Ni energy server, (Linatumia umeme kidogo, Linajiwasha na kujizima automatically)
Lina Party ya Freezer (kugandisha) na kawaida
Lina warranty ya miaka 10.
Bei ni 800,000/- tu , (Dukan ni 1.2M, risiti zipo)
Lipo Dar , mwenye kuhitaji aje PM
Sent using Jamii...
Fridge Brand : LG
Bado jipya kabisa
Ni energy server, (Linatumia umeme kidogo, Linajiwasha na kujizima automatically)
Lina Party ya Freezer (kugandisha) na kawaida
Lina warranty ya miaka 10.
Bei ni 800,000/- tu , (Dukan ni 1.2M, risiti zipo)
Lipo Dar , mwenye kuhitaji aje PM
Sent using...
Habarini wakuu,
Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.
Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia...
Duuh kweli kuna watu wanajua kutengeneza movie.....Ila hii ya saivi kidogo mmeipatia tofauti na zile nyingine......saiv wala husikii tena wakihoji habari za kompyuta kuibiwa.....Watu wanatunga movie alafu wanajifanya wanatoa eti tetesi.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.