hamujielewi nyie Watanganyika sie tunajua tunafanya nini Mkoloni mweusi tu na Jeshi lake ndio limetufikisha hapa...Tanganyika na jeshi lake ingekuwa haiingili uchaguzi wa Zanzibar basi leo hii tungekuwa dola huru yetu na kupiga
hatua kubwa kimaendeleo.
Makonda hawezi kukagua vikosi vya ulinzi...
Sasa kwa nini watanganyika munaogopa kuitisha kura ya maoni mukavunja muungano kila nchi iwe kivyake....umesahau kuwa Benki ya Tanzania ni bank ya nchi 2 Zanzibar na Tanganyika
sio mara ya kwanza kwa wazanzibari kufanya maandamano ughaibuni kwa ajili ya kuitetea Zanzibar yao....zile ni nchi zinazofuata democrasia wewe sio TZ Hata katiba ya nchi haifuatwi:shock:
hao wote ni wazanzibari wenye British citizen lakini wana jiProud na utamaduni wao wa Kizanzibari:angry:na hawatokata tamaa mpaka ya mapambano mpaka Zanzibar huru ipatikane:poa
Wazanzibari wapo UK tokea Zanzibar ilipovamiwa na Jeshi la Tanganyika na kuuharibu uhuru wa Zanzibar.....hao wote ni British citizen lakini wana jiProud na utamaduni wao wa Kizanzibari:angry:
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja. Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni...
Stylus CX4300 All-in-One (Print, Scan, Copy) Color InkJet Printer, 5100dpi x 1400dpi, Black 25ppm, Color 13ppm, USB
The Epson Stylus CX4300 is ideal for the home and small office user, offering a complete printing and copying solution. It provides high quality direct printing using either...
Zanzibar and Shell to cooperate in gas, oil sector

By In2EastAfrica Reporter
Fri, Aug 30th, 2013
The largest European oil producer, Royal Dutch Shell plc (Shell) and the Revolutionary Government of Zanzibar have signed a Memorandum of Understanding on cooperation between the two...
Zanzibar and Shell to cooperate in gas, oil sector
By In2EastAfrica Reporter
Fri, Aug 30th, 2013
The largest European oil producer, Royal Dutch Shell plc (Shell) and the Revolutionary Government of Zanzibar have signed a Memorandum of Understanding on cooperation between the two...
NI YUPI KATIKA HAWA 2 NAONA WANA LOOK KAMA MATOTO PACHA:nod:
Mwakilishi wa Jimbo la Rahaleo Nassor Salim Jazira, akisisitiza jambo na Mwakilishi wa Bububu Husein Ibrahim Makungu BHAA,wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya kuahirishwa leo asubuhi.
ingekuwa vizuri mkuu kama wangefuatilia na wale wauwaji wa watu wenye rangi kama yao kwa sababu kule ulaya wako wengi pia lakini huwezi kuwatofautisha na wazungu wengine kwa sababu ya rangi yao): nasikia bado wahusika wanawasaka kuongeza idadi ya mauti yao??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.