Nani anaangalia hilo bunge? hata waziri mkuu asipotoa hotuba kwa wananchi wa kawaida haibadilishi chochote! hata wakiacha kukutana ni sawa tu, hakuna shida!
Kuna issue hapa mkubwa, Quality and safety assurance inaweza ku fall kwako! who introduced wagonjwa kwa Daktari? ni wewe, then lazima ufanye utafiti wanafaa, ku waive hii liability ni labda uwaache waende hospital wenyewe! but kama umechagua Hospital au daktari halafu wakapata shida inaweza...
Sawa, this is good! and on the same note: Nakushauri tu, weka angalizo zuri la uwezo wa hao watu, vifaa na kazalika, Si unajua ndugu wa Tanzania tunavyopenda kubahatisha? Hao wauguzi wetu wasije kukuangusha ndugu! Nilitaka tu kujua average cost sio mkataba, ALL THE BEST!
Naishi Arusha, haya ni ya ukweli kabisa, Dar kwenye migahawa wapo fresh sana, sana sana, mara wakuite bocy, watabasamu, wakuulize etc, Arusha? NO WAY, sehemu nyingi hiyo hakuna, Ila HOTEL Kubwa ukaribu upo wa training! Kuna ukaribu wa utamadumi, na mazingira na wa Darasani, Dar mnao social...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.