Serikali imetoa tangazo la Ajira KADA ZA afya swali langu kwa wadau daraja la pili manake nini sijaelewa naomba anayejua ufafanuzi jamani .
=======
Ofisi ya Rais - TAMISEMI kwa kushirikiana na Taasisi ya Benjamin William Mkapa inapenda kuwatangazia wahitimu wa kada za afya nchini kuwasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.