Sasa mtu kama anaingia nyumbani kwako kwa nguvu si ndio hapohapo pa kumalizana ?unasema ulikuwa unajihami unamshikisha na yeye panga lake mkononi badala ya kufanya yako au unaita mwizi unamkabizi kwa wananchi wenye hasira kali.
Mimi swali langu kuhusu nafsi,umesema nafsi ni mwili wa ndani sasa swali lilipo je mtoto anapozaliwa anakuwa tayari anayo nafsi?kama anayo nafsi je inakuwa ndogo ki umri kwamba kila anavyokua na nfsi inakuwa na kama nafsi haikui kwanini binadamu asizaliwe akiwa anajitambua maana nafi yake ni kubwa.
Sawa nimeuliza hivyo kwasababu vya mwilini havifanani na vya rohoni kwa mujibu wa walimu humu, sasa kama vitakuwa vya makaratasi si vitakuwa vya mwilini tena ?pia nimejenga picha kitakuwa na ukubwa wa namna gani mpaka kiweze kuingiza majina ya binaadamu wote waliowahi kuishi duniani ?
Tatizo lako upo kidini umeshawaambia watu hadi mchungaji gani mzuri wakati muanzisha uzi huko hayupo ,hili ndio tunalopinga wewe hata kama unaongea na yesu au huwa unamuona hapa sio mahala pake toa elimu bila kuonyesha upande, hapa kuna waislam wakristo mabudha na wasio na dini,mbona mwanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.