Kaka hii nchi inawehu wengi walio jitoa fahamu kaziyao nikusifia serikali kilakitu ata kama nipabovu yaani hii nchi bila kutoka ccm hakuna kitu kipya kitatokea.
La Kwanza kushindwa ccm mpaka watanzania wote muamke mkiwa mmewekewa walau ka form 4 kchwani.
Pili raisi hapangiwi wala hashauliwi naukibisha kalishauli jiwe kama litakusikia.
Tatu na mwisho bunge lifutwe linakula not zetu za bure.
Duuu!!! Mungu tusaidie waja wako angalia wapi tumekosea pia tupe ujasili wakusema hapana kwa pamoja.
Pia tuondolee wote wanao jitia upofu ile hali wanajua kilakitu ila matumbo yao yana njaa.
Kwakusema hayo machache amennn.
Pohamba wengine hatuna uvyama ila tuna taka haki itendeke siyo kushabikia ata ujinga ndiyo maana mnawashutumu watu weupe kila kukicha eti wachochezi.
Hebu tuwe wastalabu mtu ishu ziko wazi mfano 1.5t hazionekani nanikweli ripoti inaonyesha afu mkuu anajibu kiulaini tuu afu alie hoji anaitwa...
Ivi wewe huwa ni mzima kweli kichwani au tatzo nini? ya nini kama unajijua ubongo wako hau operate vizuri kuchangia vitu vya maana? Daaa!!! Heli ambao hawaelewi kabisa muenendo wahii nchi na wana ikubali ccm kuliko wewe unae jua ila loho yako ime jawa naunafiki. Yaani una jibu pointless kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.