wanaume wadar wengi maisha yao mbaya harafu wanatuponda wamikoani
wengi wanakula mlo wajioni mchana unapita. wanaishi kwenye nyumba mbovu kuliko hata sisi wamikoani.
Wale waonaoishi mbali kwenda mjini wanapata tabu nauli kwao nitabu
harafu wanatuponda wamikoani.
hawapendezi wanavaa masahati...
Nawapenda watu wairinga, ilamnanikela,hakuna mlefu wote wafupi wake kwa waume .wanawake oleweni namakabila mengine mchanganye mbegu
Wanaume hamjuikutongoza makabila mengine? changanyeni mbegu.mbona pesa mnajua kutafuta,mnaogopa nini kuoa hatajirani zenu kule tukuyu mbona hawanasifa yakumkataa mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.