Ulilishwa matango pori na wewe ukayameza kama yalivyo.JPM kishasema anataka wale waliokuwa wanaishi kama malaika waishi kama mashetani,sasa ili kujustify nia yake hii ulifikiri anfetumia lugha gani kukuaminisha wewe mnyonge uelewa anachokifanya si uovu?
Mkuu wewe bado umevimbiwa na matango pori uliyolishwa na magufuli? Hivi wakati unasikiwa watu wanasema magufuli alikuwa baba wa uongo,wewe ulikuwa unaelewa nini? Anyway lipa kodi kwa maendeleo ya nchi yako
Though sina taarifa za uhakika ila nashawishika kuamini kuwa ujenzi unafanywa kwa phases na unafanywa na makampuni tofauti,hivyo kila mjenzi anapopatikana contract inasainiwa
Katiba yetu inataja degree kama moja ya simu za mtu ili awe rais mkuu.sasa tunaapa kulinda katiba ipi sasa au tuipige chini tu kama tunashindwa kufuata utaratibu tuliojiwekea wenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.